Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hili suala la raia wote kupiga kura kuchagua viongozi halijakaa sawa, naona kama lina madhara mengi na makubwa zaidi kuliko faida kwa sababu kuna watu wengi wanapiga kura lakini hawaelewei uzito wa kura yenyewe hivyo sio rahisi kwao kufanya maamuzi sahihi. Matokeo yake watu wa aina hii wakiwa wengi maamuzi yao yanaathiri taifa zima vibaya.
Pia soma: Kama tumekata tamaa kiasi hiki kwenye suala la kupiga kura, kuna matumaini ya kupata viongozi bora?
Ingefaa watu waliomaliza kidato cha nne na kupata cheti pamoja na wale wanaolipa kodi ya kipato (income tax) tu ndio wapige kura za kuchagua viongozi. Katika haya makundi angalau tunaweza kupata majority ya watu wanaolewa uzito wa kura yao kwao na kwa taifa zima kwa ujumla.
Hii pia ingesaidia sana kupunguza gharama za uchaguzi zisizo za lazima.
Pia soma: Kama tumekata tamaa kiasi hiki kwenye suala la kupiga kura, kuna matumaini ya kupata viongozi bora?
Ingefaa watu waliomaliza kidato cha nne na kupata cheti pamoja na wale wanaolipa kodi ya kipato (income tax) tu ndio wapige kura za kuchagua viongozi. Katika haya makundi angalau tunaweza kupata majority ya watu wanaolewa uzito wa kura yao kwao na kwa taifa zima kwa ujumla.
Hii pia ingesaidia sana kupunguza gharama za uchaguzi zisizo za lazima.