Sioni kiungo kama Bruno Fernandez kwa sasa Duniani

Sioni kiungo kama Bruno Fernandez kwa sasa Duniani

IMG_20200705_115437.jpg
IMG_20200705_115437.jpg
 
Man u ilikuwa inataka kugeuzwa shamba la bibi,wengine wakasema man u itakuwa kama ac Milan kurudi kwenye game labda ipite miaka 50 ,lakini toka huyu jamaa aingie upepo umegeuka vipigo vikasahaulika kabisa licha ya kuwa aliikuta timu kwenye hali mbaya.

Bruno Fernandez kiukweli amesitiri wachezaji kibao sana pale man u . now makosa yao huwezi yaona kama unataka kuamini rudi nyuma wakati ighalo anasajiliwa utaelewa nini namaanisha,unakuta forward kati ya mechi 3 short on target 2
Pia bruno toka atuwe man u, nidham imerudi kati ya wachezaji, hakuna kujimwambafai tena ,mfano ishu ya pogba now attention yote ipo kwa huyu jamaa

Mimi sii shabiki wa man u lakini huwa napenda sana kuangalia ufundi wa huyu jamaa alivyojaliwa ,namna anavyowapa shida wachezaji wa timu pinzani,

Now hata kocha analala usingizi akiwa na uhakika wa kishindi mechi ijayo
kwahiyo mmerudi wakati hata top four hampo
 
Bruno kuna mambo anatakiwa ajifunze kutoka kwa Niyonzima Hakizimana Fadhili na Cleutos Chama Cha Mapinduzi ili aweze kuwa na sifa unazompa sasa
Duu,,yaani,,kweli wewe shabiki maandazi
 
Manyumbu nan aliwaloga lakini ilo takataka bruno ndo useme ni bora ?
 
Duh! mashabiki wa Man U wengi mpo CCM mnajua kusifia balaa bruno hafiki ata kwa Joao moutinho
Dah, hata kama ni upinzani hii mkuu umesigina, Moutinho umlinganishe na Bruno???
Mwamba kacheza gemu tano na yupo kwenye kikosi Bora cha Mwaka.
Mpeni heshima zake anazostahili.

Huyu jamaa kwa sasa yupo level za kina KDB, labda aflop mbeleni.
 
Man u ilikuwa inataka kugeuzwa shamba la bibi,wengine wakasema man u itakuwa kama ac Milan kurudi kwenye game labda ipite miaka 50 ,lakini toka huyu jamaa aingie upepo umegeuka vipigo vikasahaulika kabisa licha ya kuwa aliikuta timu kwenye hali mbaya.

Bruno Fernandez kiukweli amesitiri wachezaji kibao sana pale man u . now makosa yao huwezi yaona kama unataka kuamini rudi nyuma wakati ighalo anasajiliwa utaelewa nini namaanisha,unakuta forward kati ya mechi 3 short on target 2
Pia bruno toka atuwe man u, nidham imerudi kati ya wachezaji, hakuna kujimwambafai tena ,mfano ishu ya pogba now attention yote ipo kwa huyu jamaa

Mimi sii shabiki wa man u lakini huwa napenda sana kuangalia ufundi wa huyu jamaa alivyojaliwa ,namna anavyowapa shida wachezaji wa timu pinzani,

Now hata kocha analala usingizi akiwa na uhakika wa kishindi mechi ijayo

Swadakta umeeleza vizur ila bado hajafikia kiwango cha KDB,, mimi ni Manchester fan
 
Back
Top Bottom