George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
kwahiyo mmerudi wakati hata top four hampoMan u ilikuwa inataka kugeuzwa shamba la bibi,wengine wakasema man u itakuwa kama ac Milan kurudi kwenye game labda ipite miaka 50 ,lakini toka huyu jamaa aingie upepo umegeuka vipigo vikasahaulika kabisa licha ya kuwa aliikuta timu kwenye hali mbaya.
Bruno Fernandez kiukweli amesitiri wachezaji kibao sana pale man u . now makosa yao huwezi yaona kama unataka kuamini rudi nyuma wakati ighalo anasajiliwa utaelewa nini namaanisha,unakuta forward kati ya mechi 3 short on target 2
Pia bruno toka atuwe man u, nidham imerudi kati ya wachezaji, hakuna kujimwambafai tena ,mfano ishu ya pogba now attention yote ipo kwa huyu jamaa
Mimi sii shabiki wa man u lakini huwa napenda sana kuangalia ufundi wa huyu jamaa alivyojaliwa ,namna anavyowapa shida wachezaji wa timu pinzani,
Now hata kocha analala usingizi akiwa na uhakika wa kishindi mechi ijayo
Yap, imeeleweka hiyo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tuishie hapa mkuu
Kaka nimecheka sana kaka.....Kama TemboHizi ndo hadithi za kipofu alieona tembo..
Ilikuwa kila akiulizwa kitu kizuri anasema
Kizuri kama tembo?
Nimeamini....Ujinga mzigo mkubwaila uwa nafikiria KDB akienda man si anapotea kabisa mtu kucheza na watu kama fred na bado unakiwasha si kazi ndogo
Ugolo huuNa ulituchangia point 4 [emoji23][emoji23] nimecheka sana
Duu,,yaani,,kweli wewe shabiki maandaziBruno kuna mambo anatakiwa ajifunze kutoka kwa Niyonzima Hakizimana Fadhili na Cleutos Chama Cha Mapinduzi ili aweze kuwa na sifa unazompa sasa
Labda na De GeaHata pale utd ukiacha Bruno na pogba hakuna wa kuingia first eleven ya Arsenal
Dah, hata kama ni upinzani hii mkuu umesigina, Moutinho umlinganishe na Bruno???Duh! mashabiki wa Man U wengi mpo CCM mnajua kusifia balaa bruno hafiki ata kwa Joao moutinho
Watakwambia Luis.Tuwe wa kweli tu pale Arsenal kuna mchezaji yeyote zaidi ya Aubameyang anayeweza kuingia first eleven ya Man united ?
Sifa za kitambo unaleta leo ili iweje sasa
Man u ilikuwa inataka kugeuzwa shamba la bibi,wengine wakasema man u itakuwa kama ac Milan kurudi kwenye game labda ipite miaka 50 ,lakini toka huyu jamaa aingie upepo umegeuka vipigo vikasahaulika kabisa licha ya kuwa aliikuta timu kwenye hali mbaya.
Bruno Fernandez kiukweli amesitiri wachezaji kibao sana pale man u . now makosa yao huwezi yaona kama unataka kuamini rudi nyuma wakati ighalo anasajiliwa utaelewa nini namaanisha,unakuta forward kati ya mechi 3 short on target 2
Pia bruno toka atuwe man u, nidham imerudi kati ya wachezaji, hakuna kujimwambafai tena ,mfano ishu ya pogba now attention yote ipo kwa huyu jamaa
Mimi sii shabiki wa man u lakini huwa napenda sana kuangalia ufundi wa huyu jamaa alivyojaliwa ,namna anavyowapa shida wachezaji wa timu pinzani,
Now hata kocha analala usingizi akiwa na uhakika wa kishindi mechi ijayo