Pre GE2025 Sioni madhaifu ya CHADEMA kwa hoja za Mchungaji Msigwa

Pre GE2025 Sioni madhaifu ya CHADEMA kwa hoja za Mchungaji Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Mambo yote anayokosoa msigwa katika chama alichotoka kukihama kwa mtu mwenye akili timamu sioni hoja za msingi kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama dhaifu ni chama gani kwa sasa hii utakipima kwenye mzani kikawa sawa na chadema kwa sera

Sera za ccm miaka nenda rudi ni zile zile tumejenga Barabara ni tofauti kabisa na chadema sera zake zimelenga kutengeneza mfumo mzima wa uongozi kwa kupigania katiba mpya

Msigwa akumbuke ameaminiwa na chama kuwa kwa miaka 10 kuwa mbunge na kuwa mwenyekiti wa Kanda ya nyasa mambo yote unayokosoa wewe ni mambo ya ndani kabisa ya chama sio madhaifu ya chama nazani hata wananchi hawakuelewi na wanaccm pia hawakuelewi

Umri wako huo sio wakutumika kuchafua watu lakini sababu wamekudharau hiyo nafasi ingefaa zaidi kwa kijana Uvccm age late 40 wewe Mzee inatakiwa kuondoka kwa heshima huku ukiendelea kukijenga chama chako ulichohamia
 
Atakua na udumavu wa mwili na akili.Hana self-confidence and foreseeings.Afanyiwe maombi tu.Hata akibadilishiwa menu itadunda.
 
Huyu Msigwa hivi kweli ni mchungaji ambaye anaendesha huduma ya kiroho ambayo ina wafuasi nyuma yake!?

Kama ni hivyo basi atakuwa ni kiongozi wa kiroho wa hovyo kabisa na tena asiyeaminika. Yaani kwa kukosa tu uongozi ndani ya CDM, basi imeshakuwa nongwa.

Kama angalishinda uchaguzi ule, ina maana kuwa angalikuwa na kauli kama hizi za kipropaganda. Atambue tu kuwa kwa CCM hii,
a. He has already been used
b. He is now misused.
c. Very soon he will be abused.
d. Finally, he will be left alone and become confused

Shetani siku zote hana rafiki.
 
Mtu wa hivyo huwa haelewi kitu.Sanasana atakuwa kakaa kwenye kona anajidai anatuchora tunavyomuonea gere.
 
Kwahyo Mbowe ameshaachie wengine kiti siyo,

Kwahyo rushwa ndani ya chadema imeisha siyo

Kwahyo hela za join the chain zimeshajulikana zlipo siyo

CHADEMA ni chama Cha mtu mmoja Ni chama Cha kiimla Ni duka la Mtu
 
Mambo yote anayokosoa msigwa katika chama alichotoka kukihama kwa mtu mwenye akili timamu sioni hoja za msingi kuwaaminisha watu kuwa...
Jamani, mpuuzeni Msigwa. Hakuna lolote atakaloongea halafu mtu mwenye akili timamu akalipa uzito. Amewasaidia hata hao waumini wake kutambua kuwa walikuwa wanamwita mchungaji, kumbe ni mchungaji wa tumbo.
 
Huyu Msigwa hivi kweli ni mchungaji ambaye anaendesha huduma ya kiroho ambayo ina wafuasi nyuma yake!?

Kama ni hivyo basi atakuwa ni kiongozi wa kiroho wa hovyo kabisa na tena asiyeaminika. Yaani kwa kukosa tu uongozi ndani ya CDM, basi imeshakuwa nongwa...
Inawezekana ni wale ambao walikuwa kwenye kanisa fulani, baada ya kunyimwa nafasi ya kuwa mkusanya sadaka, anazira na kwenda kuanzisha kanisa lake.

Na huko kwenye kanisa lake, mahubiri inakuwa ni kulisema kanisa lake lililomwondoa kwenye kukusanya sadaka.
 
Jamani, mpuuzeni Msigwa. Hakuna lolote atakaloongea halafu mtu mwenye akili timamu akalipa uzito. Amewasaidia hata hao waumini wake kutambua kuwa walikuwa wanamwita mchungaji, kumbe ni mchungaji wa tumbo.
Msigwa hanaga Waumini wala Kanisa

Kaka yake ndio mchungaji na ana Kanisa Mtwivila
 
Huyu Msigwa hivi kweli ni mchungaji ambaye anaendesha huduma ya kiroho ambayo ina wafuasi nyuma yake!?

Kama ni hivyo basi atakuwa ni kiongozi wa kiroho wa hovyo kabisa na tena asiyeaminika. Yaani kwa kukosa tu uongozi ndani ya CDM, basi imeshakuwa nongwa.

Kama angalishinda uchaguzi ule, ina maana kuwa angalikuwa na kauli kama hizi za kipropaganda. Atambue tu kuwa kwa CCM hii,
a. He has already been used
b. He is now misused.
c. Very soon he will be abused.
d. Finally, he will be left alone and become confused

Shetani siku zote hana rafiki.
Shetani huwa hana rafiki.
 
Mambo yote anayokosoa msigwa katika chama alichotoka kukihama kwa mtu mwenye akili timamu sioni hoja za msingi kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama dhaifu ni chama gani kwa sasa hii utakipima kwenye mzani kikawa sawa na chadema kwa sera

Sera za ccm miaka nenda rudi ni zile zile tumejenga Barabara ni tofauti kabisa na chadema sera zake zimelenga kutengeneza mfumo mzima wa uongozi kwa kupigania katiba mpya

Msigwa akumbuke ameaminiwa na chama kuwa kwa miaka 10 kuwa mbunge na kuwa mwenyekiti wa Kanda ya nyasa mambo yote unayokosoa wewe ni mambo ya ndani kabisa ya chama sio madhaifu ya chama nazani hata wananchi hawakuelewi na wanaccm pia hawakuelewi

Umri wako huo sio wakutumika kuchafua watu lakini sababu wamekudharau hiyo nafasi ingefaa zaidi kwa kijana Uvccm age late 40 wewe Mzee inatakiwa kuondoka kwa heshima huku ukiendelea kukijenga chama chako ulichohamia
Mke au Mme anayekukimbia hawezi kukusema vema aendako. Msigwa Hana hoja!
 
Jamani, mpuuzeni Msigwa. Hakuna lolote atakaloongea halafu mtu mwenye akili timamu akalipa uzito. Amewasaidia hata hao waumini wake kutambua kuwa walikuwa wanamwita mchungaji, kumbe ni mchungaji wa tumbo.
Mbowe asijibu kitu awaachie akina Lema,Mwakajoka, Mungai nk wamjibu. Hana hoja ya kisera.
 
Uwezi ona kundule bro wewe ni nyani

Kwamba Chadema Haina matatizo hata kidogo?

Utakua mwehu
 
Alidhani kuondoka kwake kungekuwa jambo kubwa Kumbe haikuwa na impact yoyote
Asubiri kuwa DC wa Kakonko.
Hahah , Anakula Uras Mkuu

Alafu si ana ahadi ya vigogo 15 Cdm atawaleta mwezi 10 pale Dodoma

Ebu Tuone
 
Kwahyo Mbowe ameshaachie wengine kiti syo,
Kwahyo rushwa ndani ya chadema imeisha syo
Kwahyo hela za join the chain zimeshajulikana zlipo syo
CDM Ni chama Cha mtu mmoja Ni chama Cha kiimla Ni duka la Mtu
Yule Mchaga tapeli amewafanya watu mazuzuzu sana mkuu
 
Mambo yote anayokosoa msigwa katika chama alichotoka kukihama kwa mtu mwenye akili timamu sioni hoja za msingi kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama dhaifu ni chama gani kwa sasa hii utakipima kwenye mzani kikawa sawa na chadema kwa sera

Sera za ccm miaka nenda rudi ni zile zile tumejenga Barabara ni tofauti kabisa na chadema sera zake zimelenga kutengeneza mfumo mzima wa uongozi kwa kupigania katiba mpya

Msigwa akumbuke ameaminiwa na chama kuwa kwa miaka 10 kuwa mbunge na kuwa mwenyekiti wa Kanda ya nyasa mambo yote unayokosoa wewe ni mambo ya ndani kabisa ya chama sio madhaifu ya chama nazani hata wananchi hawakuelewi na wanaccm pia hawakuelewi

Umri wako huo sio wakutumika kuchafua watu lakini sababu wamekudharau hiyo nafasi ingefaa zaidi kwa kijana Uvccm age late 40 wewe Mzee inatakiwa kuondoka kwa heshima huku ukiendelea kukijenga chama chako ulichohamia
Huyu ni mpuuzi, ni mwanaume ambae akiachana na mkewe anaenda kutangaza siri zao za kitandani.
So ni mwehu
 
Back
Top Bottom