brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Namfahamu in _out, harakati zake za siasa najua alipoanza 2005 alimsema sana jakaya asipitishwe kwa kuwa ni mdini.Huyu Msigwa hivi kweli ni mchungaji ambaye anaendesha huduma ya kiroho ambayo ina wafuasi nyuma yake!?
Kama ni hivyo basi atakuwa ni kiongozi wa kiroho wa hovyo kabisa na tena asiyeaminika. Yaani kwa kukosa tu uongozi ndani ya CDM, basi imeshakuwa nongwa.
Kama angalishinda uchaguzi ule, ina maana kuwa angalikuwa na kauli kama hizi za kipropaganda. Atambue tu kuwa kwa CCM hii,
a. He has already been used
b. He is now misused.
c. Very soon he will be abused.
d. Finally, he will be left alone and become confused
Shetani siku zote hana rafiki.
Mimi binafsi tulipingana kuhusu hilo japokuwa sikuipenda ccm ila jakaya nilimtetea.
Wakati huo anauza apples kwenye kiduka ambacho hata kodi yake anadaiwa hadi leo.
Kama uongo mpangaji wake alikua shirika flan la hifadhi ya jamii.
Anaweza kututhibitishia hilo.
Pia hana maadili ya kichungaji.
Narudiq tena amekula sana kondoo wake akiwamo shopkeeper wake