Pre GE2025 Sioni madhaifu ya CHADEMA kwa hoja za Mchungaji Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Namfahamu in _out, harakati zake za siasa najua alipoanza 2005 alimsema sana jakaya asipitishwe kwa kuwa ni mdini.
Mimi binafsi tulipingana kuhusu hilo japokuwa sikuipenda ccm ila jakaya nilimtetea.
Wakati huo anauza apples kwenye kiduka ambacho hata kodi yake anadaiwa hadi leo.
Kama uongo mpangaji wake alikua shirika flan la hifadhi ya jamii.
Anaweza kututhibitishia hilo.
Pia hana maadili ya kichungaji.
Narudiq tena amekula sana kondoo wake akiwamo shopkeeper wake
 
Lengo kuu la kuja Duniani ni kuzisaka hela, mengine ni mbwembwe tu. Pesa pesa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…