Sioni mchezaji wa Yanga SC anayeweza kupata namba Simba SC

Ongea kama mdau wa soka sio kishabiki ukitaka ushabiki hata me naweza goli umeliona kwanza au unabisha tyu
Wewe sio mdau wa soka na ndio maana hujui hata maana ya offside, kwako wewe mtu akiwa mbele tu ni offside bila hata kujua wakati mpira unapigwa alikuwa wapi. Mfungaji alikuwa kwenye movement akawazid mabeki 2 na kufunga sasa hiyo offside iko wapi?.
Kwa maelezo zaid muone Mwl. Kashasha akufafanulie.
 
Okwi hakabwi?muone huyu,mbona Yanga mlimganda na bado akawafunga goli moja kama sio mwamuzi kufanya ujinga ujinga. Wakati unasubiri mechi 15 utakuta Okwi ana magoli 30
 
Shida mleta mada kaileta kishabiki kama siyo kinazi. Kiufundi hakuna mchezaji wa Yanga atafit Sumba kwa sasa, vivyo hivyo hata Simba hakuna mchezaji atafit kwenye timu ya Yanga kwa maana hizi timu mbili zinafundishwa na walimu tofauti wenye falsafa mbili tofauti. Labda ingewezekana kama hizi timu zingekuwa na mwalimu mmoja na falsafa moja. Na ndiyo maana mchezaji hawezi sajiliwa Leo hii na akapangwa kwenye mechi ya mashindani, ni lazima benchi LA ufundi litengeneze chemistry ambayo Huyo mchezaji mpya atakuwa amefit in. Wakati mwingine tunavyo leta mada hapa jukwaani, hebu tujaribu kuweka ushabiki mandazi pembeni. Ni hayo tu kwa Leo.
 
Hawa wachezaji wanaoweza kusajiriwa na Yanga dirisha dogo watakuwa wanafundishwa na Mwinyi?huyo Chirwa anayepigiwa chapuo anafundishwa na Mwinyi. Hakuna cha ushabiki,tuseme inferiority complex inakuingia. Swali langu linaeleweka
 
Msemo huo wa waanze kutoka nje utayeyuka kama ulivyoyeyuka msemo wa watashuka daraja wasiwasi mkubwa ni pale misemo yoote itapotea na kuibuliwa msemo wa kukata rufaa
Hahaha nausubiri kwa hamu ule mwezi wa kwenda FIFA.
 
U
Hawa wachezaji wanaoweza kusajiriwa na Yanga dirisha dogo watakuwa wanafundishwa na Mwinyi?huyo Chirwa anayepigiwa chapuo anafundishwa na Mwinyi. Hakuna cha ushabiki,tuseme inferiority complex inakuingia. Swali langu linaeleweka
Kama we we siyo shabiki mandazi uliishawahi kujiuliza kwa nini Dan Serunkuma aliyesajiliwa na Simba kipindi hicho alishindwa kuwika hapa wakati akiwa huko Kenya alikuwa hakanatiki? Ukijibu swali hill kwa usahihi utajuwa na kuelewa ninachomaanisha, otherwise bora nikae tu kimya. Kifupi hats Hugo Kagere kwa Yanga anaweza onekana si lolote, hats Okwi alisajiliwa kwa Waharabu na Yanga pia tulimsajili kipindi Fulani hila hakaonekana hana msaada kwa timu husika, ila kwa Simba kwa sababu ya falsafa anafit in moja kwa moja. Nadhani umenielewa mkuu.
 
Okwi hakabwi?muone huyu,mbona Yanga mlimganda na bado akawafunga goli moja kama sio mwamuzi kufanya ujinga ujinga. Wakati unasubiri mechi 15 utakuta Okwi ana magoli 30
Mbona hatuelwani Okwi hata akifunga magoli zaidi ya 100 hakuna shida yanga inaangalia point 3 tu kwa kila mechi akikufunga moja ukirudisha atakufunga la pili usiporudisha ataishia hapo, uwingi wa magoli siyo kipaumbele chake
 
U
Hawa wachezaji wanaoweza kusajiriwa na Yanga dirisha dogo watakuwa wanafundishwa na Mwinyi?huyo Chirwa anayepigiwa chapuo anafundishwa na Mwinyi. Hakuna cha ushabiki,tuseme inferiority complex inakuingia. Swali langu linaeleweka
Kama we we siyo shabiki mandazi uliishawahi kujiuliza kwa nini Dan Serunkuma aliyesajiliwa na Simba kipindi hicho alishindwa kuwika hapa wakati akiwa huko Kenya alikuwa hakanatiki? Ukijibu swali hill kwa usahihi utajuwa na kuelewa ninachomaanisha, otherwise bora nikae tu kimya. Kifupi hats Hugo Kagere kwa Yanga anaweza onekana si lolote, hats Okwi alisajiliwa kwa Waharabu na Yanga pia tulimsajili kipindi Fulani hila hakaonekana hana msaada kwa timu husika, ila kwa Simba kwa sababu ya falsafa anafit in moja kwa moja. Nadhani umenielewa mkuu.
 
Okwi hakabwi?muone huyu,mbona Yanga mlimganda na bado akawafunga goli moja kama sio mwamuzi kufanya ujinga ujinga. Wakati unasubiri mechi 15 utakuta Okwi ana magoli 30

Umeandika kuwa anaitwa Okwi??!!! Mbona mimi sijamtaja hapo kwenye comment yangu???!!! Kwa hiyo inaelekea ni Okwi ambaye hakabwi ???!!! tehtehtehtehte
 
Okwi hakabwi?muone huyu,mbona Yanga mlimganda na bado akawafunga goli moja kama sio mwamuzi kufanya ujinga ujinga. Wakati unasubiri mechi 15 utakuta Okwi ana magoli 30

Umeandika kuwa anaitwa Okwi??!!! Mbona mimi sijamtaja hapo kwenye comment yangu???!!! Kwa hiyo inaelekea ni Okwi ambaye hakabwi ???!!! tehtehtehtehte
 
Maajabu ni kwamba yanga wanashinda kwa kagoli kamoja tu kweny mechi zao tena kwa mpira usiovutia.... lakin cha ajabu zaid kwa point wapo juu ya simba tena wakiwa na mechi moja mfukoni. This is not fair. Hii wazee wa jamvi tunaita handicap
 
Alisema mpira ni 'MAGOLI' na sio 'GOLI'
 
Mkuu huku 'kwetu' hawa Yanga tunawahesabia mechi kadhaa tu, wanakata pumzi.

Na hapo ndipo litakapokua anguko lao kuu kwa wachezaji kutolipwa mishahara, mashabiki kushinikiza uchaguzi, viongozi kung'ang'ania madaraka n.k
Umekuwa mpiga ramli ehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…