Ndivyo unavyojidanganya mkuu?Hata simba tungecheza taifa mechi 9 tusingepoteza hata moja ona Tangu tumetoka mkoani tumevuna points ngpi?shida ya hizi timu zetu ni nje ya Dar mkuu sasa ww kwahyo style yko sijui HIFADHI MANENO YANGU
Wacha kutukumbusha aibu ya kupigwa bao 7-1 Na Gor Mahia.3-1 Dar na 4 mtungi Kenya.Yanga wanamfunga USM Algiers..mnaongelea Alliance na Ruvu shooting...Mikia day walikuja wale Asante Kotoko B jasho liliwatoka mpaka coach wao akawaambia wasiharibu sikukuu yenu...
Walikuwa wameshakuwa mabingwa. Tena walichukua ubingwa baada ya kuwafunga Singida United goli 1 huko Namfua Stadium.Ndivyo unavyojidanganya mkuu?
Wakati huohuo umesahau simba msimu uliopita haikufungwa popote nje ya dar lkn ikaja kula kichapo taifa.?
Juzi tulikukojolea lakini saivi mikojo imekauka ushasahau?
Mkuu, kazi yetu na kuchukua point. Tuonane mwisho wa msimu.Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?
Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Ikitokea kila mechi iliyombele ya yanga na simba wakashinda zote isipokuwa wakadroo marudiano nani hayo magori yatasaidia wapi?, msimu huu magoli hayana nafasi ni point tu. Huu usije ukawa mwanzo wa nyinyi kuanza kupinga ushindi wa yanga huko mbeleMkuu simba anashika mkia kwenye ligi gani hiyo nataka nijue?
Only in Tz watu wanaona fahari kupiga chenga zisizo na faida. Mliwafunga wengine sijui goli 5 lakini mjue mlitoka tu na points 3. Yanga wamefunga goli moja wakatoka na points 3. Nnani zaidi??
Kwaiyo mpaka leo hii bado hujapata kujua thamani ya magoli katika mechi?
Hujajua kwamba ushindi wa simba wa mwaka jana ulichangiwa na magoli mengi?
hujajua kwamba hata kama yanga akitikea kua sawa point na simba ila kama simba anamagoli mengi simba anapewa nafasi ya juu juliko yanga?, je ulikua unalijua hilo?
Ata wao awataki kuchezea Simba ndio maana wapo YangaNipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa sana,mtangazaji anajitahidi kupamba lakini wapi mpira mwingi hauonekana. Nimejikuta natafakari hivi kati ya hawa vijana wa Yanga wanaorukaruka humu kuna hata mmoja anayeweza kupata nafasi Club kubwa Simba SC?
Binafsi sioni iwe ni hawa wa ndani,benchi au hata jukwaani. Simba imejaa vipaji na wapambanaji. Hawa Yanga sijui wanachezaje hakuna mishe kabisa. Wapo vijana wawili watatu kama Yondani na Fei Toto wanajitahidi lakini bado sioni kama mtu wa kumweka benchi Simba.
Simba hawatakuelewa hapa zaidi watakwambia umeenda kwa mgangaIla kwangu mimi naona hakuna mchezaji hata mmoja anaweza pata namba pale yanga, nasema hivii hayupooo, ukiuliza kwa nini majibu ni kwamba
Mechi 9 pointi 25,
Haijafungwa na timu yoyote,
Mechi 6 mfululizo bila kuruhusu bao,
Ktk mechi zote tisa ni moja tu wametoka bila goli,
Sasa kwa record hiyo ambayo simba yenu haina watamuweka nje nani kwa ubora huo?
Kwa hizo takwimu watakua wameelewa wachezaji na wa yanga wapi wazuriSimba hawatakuelewa hapa zaidi watakwambia umeenda kwa mganga
Simba hawatakuelewa hapa zaidi watakwambia umeenda kwa mganga
Simba hawatakuelewa hapa zaidi watakwambia umeenda kwa mganga
Toka enzi za Bamchawi, ndiyo kazi yao hiyo. Bila uchawi hawachezi hata wasajili vipi.Hao chini ndiyo walozi wakubwa, na ndiyo wsnaofanya mpira wa nchi hii hsusongi mbele. Kama unabisha basi Bali hivyohivyo. Wahabudu mizimu a.k.a Mikia fc
Dah siku zinaenda mnasema ligi bado mbichi mwisho wa siku mnaanza kutafuta ushindi wa mezani maana saizi hamtaki kutafuta ushindi mnakazana ligi bado mbichi kwani ligi ikikomaa zitaingia timu mpya kucheza ligi?, kama ni hizihizi nini kitabadirisha au usajiri mdogo utaruhusu timu zitoe wachezaji wote ziingize wapya?, baada ya yanga kutoa droo na simba sasa mmehamia kusema atakiona ugenini asipokiona ugenini si ndo mwanzo wenu wa kuzunguka na makaratasi mkononi?,Kuna kocha msimu uliopita walipocheza ugenini alianza kupagawa na kulalama "wapo zaidi, wapo zaidi refa wapo zaidi."
Ligi bado mbichi acheni mdomo.
Dah siku zinaenda mnasema ligi bado mbichi mwisho wa siku mnaanza kutafuta ushindi wa mezani maana saizi hamtaki kutafuta ushindi mnakazana ligi bado mbichi kwani ligi ikikomaa zitaingia timu mpya kucheza ligi?, kama ni hizihizi nini kitabadirisha au usajiri mdogo utaruhusu timu zitoe wachezaji wote ziingize wapya?, baada ya yanga kutoa droo na simba sasa mmehamia kusema atakiona ugenini asipokiona ugenini si ndo mwanzo wenu wa kuzunguka na makaratasi mkononi?,Kuna kocha msimu uliopita walipocheza ugenini alianza kupagawa na kulalama "wapo zaidi, wapo zaidi refa wapo zaidi."
Ligi bado mbichi acheni mdomo.
Acha kuokoteza wachawi,kuza soka la timu yako. Tunazungumzia kiwango cha wachezaji wako wanarukaruka tu. Mbona Simba inafanyiwa mazengwe ya kunyimwa magoli lakini inatandaza kandanda muruaPamoja na Hans Pope kupata lunch na Waamuzi jana, haikusaidia kitu.