Dah siku zinaenda mnasema ligi bado mbichi mwisho wa siku mnaanza kutafuta ushindi wa mezani maana saizi hamtaki kutafuta ushindi mnakazana ligi bado mbichi kwani ligi ikikomaa zitaingia timu mpya kucheza ligi?, kama ni hizihizi nini kitabadirisha au usajiri mdogo utaruhusu timu zitoe wachezaji wote ziingize wapya?, baada ya yanga kutoa droo na simba sasa mmehamia kusema atakiona ugenini asipokiona ugenini si ndo mwanzo wenu wa kuzunguka na makaratasi mkononi?,
Hoja kuu mkisema:
1. Mna magoli mengi
2. Mmefanya usajiri mkubwa
3. Yanga hakufungwa ugenini
4. ...