Uchaguzi 2020 Sioni msimamo wa pamoja kwa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Sioni msimamo wa pamoja kwa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020

thetallest

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
8,271
Reaction score
9,113
Hawa jamaa wa upinzani ukiwaangalia body language na matamshi yao kwa ujumla ni watu ambao kila mmoja kuna kitu anachoamini kama kipaumbele chake kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu.hivyo msimamo wa pamoja kupambana na ccm haupo.

Hii inatokana na matokeo ya uchaguzi wa 2015, iliyopelekea CUF kufa kibudu.

Kwani chadema ilitumia fursa hiyo kujiinua na kuwa chama kikuu cha upinzani,

CHADEMA iliviragai vyama vya upinzani kisha kuviacha solemba,jeraha hili halitasahaulika kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Ilipelekea mpaka Maalim Seif na Lipumba kufarakana ,ikizingatiwa ndio waasisi wa CUF.

Ninachokiona ni kwamba uchaguzi wa mwaka huu utafanyika kupitia tume ileile.

Muda wa kupata tume nyingine hautoshi kulingana na kazi za bunge

Naiona dhambi aliyoitenda CHADEMA kwa CUF ikimrudia.
 
Ndivyo ilivyo gawanya utawale, mbinu hiyo inakubalika sana tu duniani kote
Nakwasababu hiyo ndiyo maana sisiemu tabasamu kubwa,wakisikia mbatia kule anasema lake,huku Eisiti nao wanamipango yao kule chadema nao wamejifungia wanajipanga.........Kura zimegawanyika saafi kabisa,wanajiimbia tu sisiemu mbele kwa mbele
 
Nakwasababu hiyo ndiyo maana sisiemu tabasamu kubwa,wakisikia mbatia kule anasema lake,huku Eisiti nao wanamipango yao kule chadema nao wamejifungia wanajipanga.........Kura zimegawanyika saafi kabisa,wanajiimbia tu sisiemu mbele kwa mbele
Ukiangalia kwa umakini mkubwa utagundua kuwa hali hii inatokana na mipango mkakati ya CCM.
Huwa wanafanya mipago ya kuhakikisha wanawapata baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kwa gharama yoyote Ile kabla ya uchaguzi,miaka zaidi ya mitano kabla.

Viongozi wanakuwepo pale Kama tv screen, remote wanakuwanayo CCM.

HUU NI UJASUSI WA KISIASA.

Hutengeneza mifarakano ya kuaminika kwa jamii
MFANO.
AUGUSTINE L MREMA
EDWARD LOWASA
NINAMASHAKA NA HILI LA MEMBE.
Muda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapo zungumzia upinzani tunazungumzia Chadema na ACT kwa mbaali,wengine wote ni vibaraka wa Lumumba njaa kali, ambao wakiahidiwa chochote hata kama hakipo husukuma gurudumu la CCM,na majuto huja baadae
 
Hapa coalition bila tume huru ni bure kabisa mapambano ya sasa yake kupata tume huru ya uchaguzi na hili sio suala la vyama vya upinzani. Agenda hii inatakiwa ibebwe na wananchi wenyewe kupitia asasi za kiraia.

Nashangaa sana hizi asasi badala ya kufanya kazi ya kuwaunganisha watanzania wamebakia kuwa watu wa mitandaoni tu. Tunahitaji kongamano kama is mwaka 1990 liitishwe pale Diamond Jubilee ili wanaharakati na watanzania wote wawe na msimamo mmoja.
 
Hawa jamaa wa upinzani ukiwaangalia body language na matamshi yao kwa ujumla ni watu ambao kila mmoja kuna kitu anachoamini kama kipaumbele chake kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu.hivyo msimamo wa pamoja kupambana na ccm haupo.

Hii inatokana na matokeo ya uchaguzi wa 2015,iliyopelekea CUF kufa kibudu.

Kwani chadema ilitumia fursa hiyo kujiinua na kuwa chama kikuu cha upinzani,

CHADEMA iliviragai vyama vya upinzani kisha kuviacha solemba,jeraha hili halitasahaulika kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Ilipelekea mpaka Maalim Seif na Lipumba kufarakana ,ikizingatiwa ndio waasisi wa CUF.

Ninachokiona ni kwamba uchaguzi wa mwaka huu utafanyika kupitia tume ileile.

muda wa kupata tume nyingine hautoshi kulingana na kazi za bunge

Naiona dhambi aliyoitenda chadema kwa CUF ikimrudia ,

Sijaelewa. Wewe Shida yako sera nzuri na Watu ambao kwa historia na tabia na maisha yako. Au muungano wa vyama.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangu ni kwamba, kwanza upinzani wa kweli haupo nchini kwa sasa,ni mpaka pale viongozi wa vyama vya upinzani watakapoacha kuvihozi vyama kama mali zao binafsi,na kuruhusu viwe miliki ya wanachama hasa vijana ambao ndio wenye mawazo mapya na mbadala kuhusu mageuzi ya kiuchumi.kuhusu taifa letu
Nini ushauri wako kwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wa upinzani ukiwaangalia body language na matamshi yao kwa ujumla ni watu ambao kila mmoja kuna kitu anachoamini kama kipaumbele chake kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu.hivyo msimamo wa pamoja kupambana na ccm haupo.

Hii inatokana na matokeo ya uchaguzi wa 2015,iliyopelekea CUF kufa kibudu.

Kwani chadema ilitumia fursa hiyo kujiinua na kuwa chama kikuu cha upinzani,

CHADEMA iliviragai vyama vya upinzani kisha kuviacha solemba,jeraha hili halitasahaulika kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Ilipelekea mpaka Maalim Seif na Lipumba kufarakana ,ikizingatiwa ndio waasisi wa CUF.

Ninachokiona ni kwamba uchaguzi wa mwaka huu utafanyika kupitia tume ileile.

muda wa kupata tume nyingine hautoshi kulingana na kazi za bunge

Naiona dhambi aliyoitenda chadema kwa CUF ikimrudia ,
Wakikusanyika watakamatwa.
 
Na hili ni kosa kubwa sana ndani ya vyama vya upinzani,kujiona wengine ni bora kuliko wengine.
Vyama unavyovizarau vingine viliwahi kuwa imara na bora kuliko hivyo vya chadema na ACT,mfano NCCR mageuzi,CUF, nikuhakikishie tu kwamba vyama unavyovizarau ndivyo vivyoenda kuwa imara na madhubuuti kesho
Tunapo zungumzia upinzani tunazungumzia Chadema na ACT kwa mbaali,wengine wote ni vibaraka wa Lumumba njaa kali, ambao wakiahidiwa chochote hata kama hakipo husukuma gurudumu la CCM,na majuto huja baadae
 
German divide and rule policy,but changes in Tanzania must be brought by the mass not opposition leader's.
 
Hawa jamaa wa upinzani ukiwaangalia body language na matamshi yao kwa ujumla ni watu ambao kila mmoja kuna kitu anachoamini kama kipaumbele chake kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu.hivyo msimamo wa pamoja kupambana na ccm haupo.

Hii inatokana na matokeo ya uchaguzi wa 2015,iliyopelekea CUF kufa kibudu.

Kwani chadema ilitumia fursa hiyo kujiinua na kuwa chama kikuu cha upinzani,

CHADEMA iliviragai vyama vya upinzani kisha kuviacha solemba,jeraha hili halitasahaulika kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Ilipelekea mpaka Maalim Seif na Lipumba kufarakana ,ikizingatiwa ndio waasisi wa CUF.

Ninachokiona ni kwamba uchaguzi wa mwaka huu utafanyika kupitia tume ileile.

muda wa kupata tume nyingine hautoshi kulingana na kazi za bunge

Naiona dhambi aliyoitenda chadema kwa CUF ikimrudia ,

Inasikitisha kwa kweli. Na kubwa zaidi pamoja jitihada za zitto kumtaka lissu awe ndio mgombea,wa upinzani tusishangae ndani ya siku chache tukasikia zitto anamtangaza mgombea wao ambae kimsingi hatokuwa na uwezo wa kushinda Bali kuzidi kusatasambaratisha tu nguvu ya upinzani
 
Hatari sana
Inasikitisha kwa kweli. Na kubwa zaidi pamoja jitihada za zitto kumtaka lissu awe ndio mgombea,wa upinzani tusishangae ndani ya siku chache tukasikia zitto anamtangaza mgombea wao ambae kimsingi hatokuwa na uwezo wa kushinda Bali kuzidi kusatasambaratisha tu nguvu ya upinzani
 
bahati mbaya ni kuwa huko kila mtu anaipenda sifa ya kuwa mgombea wa Urais, na wengi hukimbilia huko ili kuipata hiyo sifa. Upinzani ni sehemu rahisi mno kupata nafsi ya kugombea Urais.
 
Na hili ni kosa kubwa sana ndani ya vyama vya upinzani,kujiona wengine ni bora kuliko wengine.
Vyama unavyovizarau vingine viliwahi kuwa imara na bora kuliko hivyo vya chadema na ACT,mfano NCCR mageuzi,CUF, nikuhakikishie tu kwamba vyama unavyovizarau ndivyo vivyoenda kuwa imara na madhubuuti kesho
Mkuu mbona mambo yako wazi kabisa, akina Lipumba nao ni wa kuwahesabu?
 
Back
Top Bottom