Uchaguzi 2020 Sioni msimamo wa pamoja kwa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Sioni msimamo wa pamoja kwa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020

Acha kwanza gwajima na wasukuma wengine waibomoe CCM
 
Ukiangalia kwa umakini mkubwa utagundua kuwa hali hii inatokana na mipango mkakati ya CCM.
Huwa wanafanya mipago ya kuhakikisha wanawapata baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kwa gharama yoyote Ile kabla ya uchaguzi,miaka zaidi ya mitano kabla.

Viongozi wanakuwepo pale Kama tv screen, remote wanakuwanayo CCM.

HUU NI UJASUSI WA KISIASA.

Hutengeneza mifarakano ya kuaminika kwa jamii
MFANO.
AUGUSTINE L MREMA
EDWARD LOWASA
NINAMASHAKA NA HILI LA MEMBE.
Muda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi mkuu,jana imetokea tayari
 
Msimamo gani mnataka wakati bajeti ya serikali yote mmeelekeza kuwanunua wabunge na madiwani??!!

Mnajisifu mnapendwa wakati nyuma ya pazia mnawaogopa wapinzani hadi mnaji.harishia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom