Uchaguzi 2020 Sioni msimamo wa pamoja kwa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020

Acha kwanza gwajima na wasukuma wengine waibomoe CCM
 
Upo sahihi mkuu,jana imetokea tayari
 
Upinzani madhubuti nchi hii bado haujawahi kuwepo
 
Msimamo gani mnataka wakati bajeti ya serikali yote mmeelekeza kuwanunua wabunge na madiwani??!!

Mnajisifu mnapendwa wakati nyuma ya pazia mnawaogopa wapinzani hadi mnaji.harishia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…