Kutokana na formation ya mchezo ilivyo uwanjani. Sioni namna gani Uhuru atapenyeza ktk huu uchaguzi , labda kwa gori la mkono. Yani kutoboa kwakwe ktk huu ulingo ni sawa na tembo kupita mlangoni kwa nyumba ya msonge.
Humjui Uhuru wewe..yaani onjwang anakalishwa mapema sanaaaaa
If that's the case mbona nasikia toka nchi yenu imepata uhuru inaongozwa na makabila mawili tu? Ina maana hao wengine hawastahili kuwa marais au? Na kwanini zile figisu figisu zilitokea kwenye uchaguzi uliopita na watu kupoteza maisha siasa za afrika ngumu sana.Ndio utamu wa uchaguzi wa Kenya, yaani hamna uhakika wa ushindi hata kama wewe ni rais wa sasa. Hii inasaidia sana kwenye masuala ya maendeleo maana rais anaishia kupambana na kutia bidii katika utekelezaji wa manifesto au ilani ya chama chake.
Hamna kitu cha ovyo kama mfumo ambao kiongozi akishateuliwa na chama tawala anakua na uhakika wa kuwa rais, yaani kampeni zake zinakua maigizo tu kama vile kufanya push ups na kadhalika maana kwa vyovyote vile lazima ataibuka na ushindi na kutangazwa rais.
Kenya, lazima ulowe jasho, ubembeleze, ujieleleze hadi usikike...
Tz mna kabila ngapi?Zote zimeongoza?Acha kuongea ujinga ukidhani unaonekana mjanja!If that's the case mbona nasikia toka nchi yenu imepata uhuru inaongozwa na makabila mawili tu? Ina maana hao wengine hawastahili kuwa marais au? Na kwanini zile figisu figisu zilitokea kwenye uchaguzi uliopita na watu kupoteza maisha siasa za afrika ngumu sana.
Naaaam swali makhiri, na mimi nimekaa mkao wakula, nasubiri jubu lake.If that's the case mbona nasikia toka nchi yenu imepata uhuru inaongozwa na makabila mawili tu? Ina maana hao wengine hawastahili kuwa marais au? Na kwanini zile figisu figisu zilitokea kwenye uchaguzi uliopita na watu kupoteza maisha siasa za afrika ngumu sana.
Pushups tena, kumbe ujumbe wote huu lengo ni kumnanga Magufuli na ccm. CCM ilikuwa na members wenye akili kushinda KANU, ni chama cha kijamaa since her genesis, ni chama kikongwe na experience kibao, chenu kilikuwa cha land grabbing opportunistics. So never compare our politics with yours.Ndio utamu wa uchaguzi wa Kenya, yaani hamna uhakika wa ushindi hata kama wewe ni rais wa sasa. Hii inasaidia sana kwenye masuala ya maendeleo maana rais anaishia kupambana na kutia bidii katika utekelezaji wa manifesto au ilani ya chama chake.
Hamna kitu cha ovyo kama mfumo ambao kiongozi akishateuliwa na chama tawala anakua na uhakika wa kuwa rais, yaani kampeni zake zinakua maigizo tu kama vile kufanya push ups na kadhalika maana kwa vyovyote vile lazima ataibuka na ushindi na kutangazwa rais.
Kenya, lazima ulowe jasho, ubembeleze, ujieleleze hadi usikike...
Ndio utamu wa uchaguzi wa Kenya, yaani hamna uhakika wa ushindi hata kama wewe ni rais wa sasa. Hii inasaidia sana kwenye masuala ya maendeleo maana rais anaishia kupambana na kutia bidii katika utekelezaji wa manifesto au ilani ya chama chake.
Hamna kitu cha ovyo kama mfumo ambao kiongozi akishateuliwa na chama tawala anakua na uhakika wa kuwa rais, yaani kampeni zake zinakua maigizo tu kama vile kufanya push ups na kadhalika maana kwa vyovyote vile lazima ataibuka na ushindi na kutangazwa rais.
Kenya, lazima ulowe jasho, ubembeleze, ujieleleze hadi usikike...
Pushups tena, kumbe ujumbe wote huu lengo ni kumnanga Magufuli na ccm. CCM ilikuwa na members wenye akili kushinda KANU, ni chama cha kijamaa since her genesis, ni chama kikongwe na experience kibao, chenu kilikuwa cha land grabbing opportunistics. So never compare our politics with yours.
Bidii gani Uhuru aliitia ndani ya miaka mitano?? Hacha kutudanganya humu. MK254 upenda kutuonyesha kuwa mambo huko Kenya yako vizuri. Your busy swimming in a dirty pool pretending its not. Don't play with our mind. Uhuruto hawajafanya la maana in five years. Wanazidiwa na Kibaki mbali. Kilakitu Kenya ni ovyo. Migomo kwenye hospitali na vyuo. MK254 feelings za ukabila usizilete hapa. Go join Uhuru yupo busy na beer.View attachment 543846 View attachment 543847 View attachment 543849 View attachment 543851 View attachment 543852 View attachment 543853 View attachment 543854 View attachment 543858
Pushups tena, kumbe ujumbe wote huu lengo ni kumnanga Magufuli na ccm. CCM ilikuwa na members wenye akili kushinda KANU, ni chama cha kijamaa since her genesis, ni chama kikongwe na experience kibao, chenu kilikuwa cha land grabbing opportunistics. So never compare our politics with yours.
CCM ilikuwa na members wenye akili kushinda KANU, ni chama cha kijamaa since her genesis,
Kweli! Kwa uzoefu wa kuifisadi nchi na kuwalaghai wadanganyika, CCM is second to none!ni chama kikongwe na experience kibao.
Kuna watu kama wewe huwa wakiamua kusema ukweli wanamalizia kabisaa.Hapo sawa! Anavoisifu sisieumu huyo mburula utadhani ndo The Republican party yenyewe!Kumbe tu ni wale jamaa wa kuzungusha mwenge na kupiga promo za kishirikina na nguvu za giza!Hadi sasa ni cha kijamaa ama kijepari?
Kweli! Kwa uzoefu wa kuifisadi nchi na kuwalaghai wadanganyika, CCM is second to none!
Hilo la chama kuwa kikongwe na kung'ang'ania madaraka ndio imewaponza hadi leo bado mpo maskni ndani ya LDC. Japo kidogo Magufuli naona ameamua kutoendana na chama na anafanya yake, labda kwa style hiyo mtapiga hatua, tatizo amezungukwa na hao hao wanaotoroka na kukana vichwa vya treni bandarini..... Hehehe nyie kituko.
Hivi wewe hapo Kenya unautaalamu gani wakuniambia mimi zaidi ya huu.Nilishakuambia mara kadhaa mimi siwezi kujadili mapicha ya siasa unayokusanya kwenye viblog na kujaza humu, njoo kitaalam nitakujibu.