Sioni Namna gani Uhuruto wataishinda NASA

Sioni Namna gani Uhuruto wataishinda NASA

Ndio utamu wa uchaguzi wa Kenya, yaani hamna uhakika wa ushindi hata kama wewe ni rais wa sasa. Hii inasaidia sana kwenye masuala ya maendeleo maana rais anaishia kupambana na kutia bidii katika utekelezaji wa manifesto au ilani ya chama chake.
Hamna kitu cha ovyo kama mfumo ambao kiongozi akishateuliwa na chama tawala anakua na uhakika wa kuwa rais, yaani kampeni zake zinakua maigizo tu kama vile kufanya push ups na kadhalika maana kwa vyovyote vile lazima ataibuka na ushindi na kutangazwa rais.
Kenya, lazima ulowe jasho, ubembeleze, ujieleleze hadi usikike...

Elimu elimu elimu ndio tumekosa wengi wetu huku Ka sivyo tungekua mbali sana
 
Tz mna kabila ngapi?Zote zimeongoza?Acha kuongea ujinga ukidhani unaonekana mjanja!
Yako 120 na hakuna kabila lililojirudia kwenye uraisi, nyie mnabadilisha chupa tu mvinyo ule ule, Kikuyu type hakunaga chama kule li ccm lao Kikuyu, moi alipewa kuzuga tu. Nilikuwa nawaona hawajamaa wajanja sana nilipokwenda kuishi Kenya ndio nikajua kuwa ni weupe tu.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom