Sioni Namna gani Uhuruto wataishinda NASA


Elimu elimu elimu ndio tumekosa wengi wetu huku Ka sivyo tungekua mbali sana
 
Tz mna kabila ngapi?Zote zimeongoza?Acha kuongea ujinga ukidhani unaonekana mjanja!
Yako 120 na hakuna kabila lililojirudia kwenye uraisi, nyie mnabadilisha chupa tu mvinyo ule ule, Kikuyu type hakunaga chama kule li ccm lao Kikuyu, moi alipewa kuzuga tu. Nilikuwa nawaona hawajamaa wajanja sana nilipokwenda kuishi Kenya ndio nikajua kuwa ni weupe tu.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…