Sioni Rais wa TLS Wakili Mwabukusi akisimamia utekelezaji wa ibara na. 4 ya sheria ya TLS

Bullets holes? Extreme loss of blood? Near desth experience and you call it excuse? Nigga you need new a brain
He had good three months out of twelve, that was enough for able person to show whether s(h)e can or can not deliver-Lissu is a a manipulator and an artist of the highest degree
 
Hajaanza majukumu yake, ila hata kabla ya kuwa rais, kashasimamia uvunjwaji wa haki na sheria.
 
Hoja nzuri, anza na kipengere namba i- mwenendo; yeye mwenyewe hana
Kama hana mbona bado ni wakili? Kuna chombo kinachohakikisha mtu ana sifa.
 
He had good three months out of twelve, that was enough for able person to show whether s(h)e can or can not deliver-Lissu is a a manipulator and an artist of the highest degree
Three month ? Seriously? Kuna president mwingine performance yake imeonekana after three month?
Kuwa honest three month is nothing
 
Atashindwa kwasababu gani? Na yupi kati ya Marais waliopita wa TLS waliweza na kwanini
Serikali ni wajanja sana. Ukijifanya mjanja, they just ignore you. Tundu yna Fatma Karume walipokuwa Marais wa TLS kwa vipindi tofauti, Serikali iliwa ignore tu. Hata kwenye matukio waliyotakiwa kuwepo mfano Siku ya Kufungua Mwaka wa Sheria, hawakualikwa.
 
Ikawapunguzia nini? Na Serikali ikawaongezea nini? Na mwananchi akakosa nini?
 
Ikawapunguzia nini? Na Serikali ikawaongezea nini? Na mwananchi akakosa nini?
Kwani Mwabukusi hadi akaenda mahakamani analialia ili awe Mwenyekiti ili amsaidie nani? Unafikiri akiwa Mwenyekiti ndio Wana Chadema matatizo yataisha? Je, ndio mtaacha kulialia kuibiwa kura? Ahahahahaha!!!
 
Kwani Mwabukusi hadi akaenda mahakamani analialia ili awe Mwenyekiti ili amsaidie nani? Unafikiri akiwa Mwenyekiti ndio Wana Chadema matatizo yataisha? Je, ndio mtaacha kulialia kuibiwa kura? Ahahahahaha!!!
MwanaCHADEMA yuko wapi alielilia? Mwambukusi nae ni mwanachadema? Ukiazlnzisha suala jaribu kuwa na hoja yenye mashiko.
 
Katika hizi objects zote ipi ni ya ajabu, ngumu na haitekekezeki? Na kwanini unaonekana kuwa na hofu kubwa juu ya mtu huyu?

Kuna dhambi zinawasumbua huko CCM bila shaka na mnapoona ujasiri wa huyu Rais wa TLS akitamka boldly kutekeleza majukumu yake kwa kuisimamia vyema section 4 ya sheria ya TLS, mnatetemeka. Why?

Mimi nakuelewa sana ndugu comte. Hofu yako, ndiyo hofu ya CCM na serikali yote ya CCM. Tafadhali, msijaribu tu kumuua kama mlivyojaribu kwa Tundu Lissu mwaka 2017. Hiyo itakuwa mbaya sana kwenu this time.!

Na ni kwanini unadhani hawezi kuisimamia na kuitekeleza maana mimi naona umefyatuka tu hewani, ukakopi na ku pest hizo objectives na kisha ukatoa conclusion kuwa hawezi kuzitekeleza?

Hao ma - Rais wengine wote waliopita wa TLS kumbe wao walikuwaga wanasimamiaga nini ktk utendaji wao? Kwanini walikuwa nje ya hii section 4 ya sheria yao wenyewe kiasi cha wewe kuwa limekukaa kwenye akili (mindset) yako, yakawa mazoea yako kuishi ktk uchafu na kushindwa na kiasi cha kuamini kuwa hakuna mtu anayeweza kuisimamia hii section 4 ya sheria ya TLS?

Mimi najua na kuelewa, hofu yako hii imetokana na KUJIAMINI KWA JAMAA HUYU na kwa ujasiri mkubwa kutamka boldly kuwa anakwenda kusimamia objectives za kuanzishwa kwa TLS kama zilivyo ktk section 4 ya sheria yao..

Ujasiri wa mtu huyu umewaogofya sana ma - CCM na serikali yao corrupt iliyokwisha kushindwa miaka mingi. Na ktk andiko lako hili naiona wazi hiyo hofu inayowakilisha hofu ya CCM yote kwa ujumla..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…