Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Nimeona mechi na Mtibwa, Robertinho ameanza na Kapombe na Tshabalala, kwangu mimi nawaona wameshachoka na hawaendi na kasi inayotakiwa, jamani tuwe wa kweli na tuache ushabiki maandazi, yule beki wa kulia wa Yanga sio masihara, ni mtu kazi haswa, ana nguvu, anapanda, anamwaga maji, anashuka haraka, hapitiki na ana chenga.Ni mpambanaji.
Kapombe na Tshabalala wamechoka, kocha awapumzishe wasubiri mechi ngumu ngumu ndio wawapange, namshauri hakuna sababu ya kesho na Dodoma jiji uwapange hao wakati kuna Duchu kulia na Israel Mwenda kushoto ambao wote wana uwezo na damu inachemka.
Otherwise kwa upangaji wa kocha wachezaji watashuka viwango ss hv
Kapombe na Tshabalala wamechoka, kocha awapumzishe wasubiri mechi ngumu ngumu ndio wawapange, namshauri hakuna sababu ya kesho na Dodoma jiji uwapange hao wakati kuna Duchu kulia na Israel Mwenda kushoto ambao wote wana uwezo na damu inachemka.
Otherwise kwa upangaji wa kocha wachezaji watashuka viwango ss hv