Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna matusi gani ktk huo wimbo..... Nyegezi sio tusi ww sema katumia tafsida au mlitaka aseme nyege kabisaaa ndo mpanic
Haya BASATA washafanya yao panic wewe na wanyegezi wenzioKuna matusi gani ktk huo wimbo..... Nyegezi sio tusi ww sema katumia tafsida au mlitaka aseme nyege kabisaaa ndo mpanic
hahahhaha, hatari sana, wa tz hawajui walitakalo[emoji23][emoji23][emoji23]
hapa ndipo utajua "UNAFIKI" Wa watz juzi waliuponda lakini Leo UMEFUNGWA wanaanza "Kuutetea"
Katika watu wanafiki tz tunaongoza aisee dahHauna mafunzo yoyote kwa jamii zaidi ya kupotosha maadili.
BTW mimi sina timu wala huo ushabiki wenu
Umeona eeeh! Yaani walimwengu hawana jema[emoji23][emoji23][emoji23]
hapa ndipo utajua "UNAFIKI" Wa watz juzi waliuponda lakini Leo UMEFUNGWA wanaanza "Kuutetea"