Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Acha kutetea ujinga hujui huo mziki watoto ndio wahanga wakubwa... utajisikiaje umekaa na mtu wa heshima mtoto wako anaimba "Nyege Nyege Nyegezi kwetu Nyegezi" mara sijui naogopa central michezo ya Umber rutty, kuna ule mwingine eti " baby papasa mjusi kafiri nisafishe mtaro"Thad ujue kuna muda music ni burudani tuuuu ujue mkuu sio kila mziki lazima uelimishe jamii au hujui hilii
Msanii akitoa nyimbo yenye content ya matusi kama taifa tunapata hasara Gani kiuchumi kitamaduni nk.
Acha kutetea ujinga hujui huo mziki watoto ndio wahanga wakubwa... utajisikiaje umekaa na mtu wa heshima mtoto wako anaimba "Nyege Nyege Nyegezi kwetu Nyegezi" mara sijui naogopa central michezo ya Umber rutty, kuna ule mwingine eti " baby papasa mjusi kafiri nisafishe mtaro"
Kama mashairi yamewaishia wahamie kwenye ngonjera.
Yani watanzania hawajielewi wanataka nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hapa ndipo utajua "UNAFIKI" Wa watz juzi waliuponda lakini Leo UMEFUNGWA wanaanza "Kuutetea"
Ni ujinga tu ..kuamini mtu flani akifanya mambo ya ovyo mwanao ata geza .Sasa tatizo lipo Kwa chibu Na matusi yake au wazazi Na malezi ya watotoVitu vingine mi naona ni ujinga tu unafungia za hapa wakat wamashinda kwenye mayoutube kuangalia nyimbo km.hizo hizo zilizofungiwa.. Mi naona ifike mahali wasanii wetu wafanye mpango wa kuhamia nchi jirani tu
Wewe bwabwaja lakini wimbo ushafungiwa, utasikiliza kwa earphones.... pathetic.Mi nasikiliza tuu maana sion tatizo hapo wewe mwenye akili iliyokaa kushoto zaid lazima uone shida mbona mnaangalia mapicha ya uchi kwenye mtandao na mnayahifadhi kwa sim hamuon km ni tatizo
Yani wangewafunga na wao maana hawanaga cha kuimba ni matusi tu.
Nasemaje wameshaufungia andamaneni waufungue basiUnapata hasara kiasi Gani chibu akifanya matusi kwenye nyimbo?
sweetlee mnaongea sana nyie tatizo naona kuna ushabiki wa kiteam hapo hamna lolote mkuu mi ntaupiga tena naweka lingtone back kwa sim yang nione hiyo basata yenu itafanyaje
Subiri kesi ifike kwa mzee baba kesho kutwa tu utafunguliwa mkuu
Ukija kua na familia ya mke na watoto ndio utajua alaa kumbe BASATA wapo sahihi tena utakua mzee kifimbo cheza kbs upambane na wachafuzi wa lugha.Ushamba nao mzigo naona wanasumbuliwa na mzigo waliobeba kichwan mwao yaan kwa miaka ya leo bado tunaleta hizi drama
AfadhaliHivi hili baraza lina wazimu gani? Sioni sababu ya kuifungia ile nyimbo kiukweli... Kwa style hii wasanii wetu watapata tabu sana. Ebu tusaidiane kwahili ile nyimbo ina tatizo kwani?!View attachment 930772