Sioni sababu ya kuwaombea wapiga kura wako wanyimwe misaada kimataifa

Sioni sababu ya kuwaombea wapiga kura wako wanyimwe misaada kimataifa

Huu uzi unaurudiarudi sana,nilikuuliza swali hukujibu!Hivi kumbe tukikosa misaada tutakufa eeh?Kumbe hatuwezi ishi bila misaada,teh teh teh!
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app

Oh yeah,kumbe ni wewe Elitwege,tege kweli wewe!
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unalilia sana na misaada. Bado hamjawa dona kantri?
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Tunitakiwa kumshukuru sana TL kwa kujitolea kwake kupinga tusipewe misaada. Maana yupo ambaye anajifanya hapendi misaada huku akinyimwa ananung'unika au kulalama kuwa misaada ina masharti.

Navyoona tukinyimwa misaada tunatakiwa tutembee kifua mbere kwa sababu lengo letu la kuwa dona kantri litakuwa limetimia
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app


Hizi ndizo akili za mtu msomi, think about that. Yaani wasomi wa Tanzania ni majanga tupu, muoneni Zitto.
 
Elitwege unahainga na huyo PUNGUANI?

Yaani anaombea tupate shida ili tuje kumchagua kuwa kiongozi wetu?

Hi ina maana kwamba mtu huyu ni mbinafsi wa kupitiliza na ndio mana licha ya kutibiwa na ma LGBT wenzake na kupona bado analilia pesa za Watanzania apewe "Bunge".

Anajiskiaje atakapokuja kutuongoza tukiwa tumekufa, dhoofika na kupoteza muelekeo wa kiuchumi kisa kutopata misaada ya maendeleo ambayo Sasa anashawishi tunyimwe?

All in all sijawahi kumuwazia kuwa turufu ya kutuongoza sbb hana hiyo KARAMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni punguani kwanini mlimmiminia risasi zote zile, tuanzie hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwa taarifa yako tu ni kuwa hata kama huyo lissu hakwenda huko aliko, na hata kama hataongea chochote kweny ziara yake... hakuna kitu chochote kitafanyika dunia hii iwe asubuhi hata usiku kisijulikane! maana hata hii sauti unayoipaza hapa unaipaza kupitia nyenzo yao ya mawasiliano! hivi hujui kama mabalozi wa hizo nchi tunao miaka nenda rudi? ina maana kikitokea kitu chochote hawakioni?
 
Tengeneza tatizo ili baadae ulitumie kama mtaji wa kukupaisha na uje kulitatua.
 
Unacheka eh
tapatalk_1558852214951.jpeg
 
Muosha huoshwa... what goes around comes around...

Nyie sii mmesema hajui halipo, ameondoka bila ya kuaga... mkamfuta ubunge... muacheni sasa awanyooshe...



Cc: mahondaw
 
Mbunge Lisu baada ya kupona majeruhi yake ametangaza kwa mbwembwe kuanza ziara ya kuichafua nchi yake Tanzania huko barani Ulaya na USA.

Lisu ametangaza wazi lengo la ziara yake ni kwenda kushawishi nchi wahisani ziinyime misaada Tanzania!
Lisu anasahau kuwa Tanzania ikinyimwa misaada hata wananchi wake waliompigia kura kule Singida nao watakufa njaa vibaya sana.
Lisu amepigwa risasi na kikundi kidogo cha watu lakini anahukumu taifa zima wakiwemo wapiga kura wake wa Singida nao waisome namba eti kisa tu yeye alishambuliwa kwa risasi!! Hivi Tanzania aliyepigwa risasi ni Lisu tu??

Hata hivyo pamoja na nia ovu ya Lisu bado Mungu yupo pamoja na watanzania baada ya ziara ya Lisu kupuuzwa na vyombo vya habari vya kimataifa vikiwemo vya hao wazungu aliokimbilia kwenda kujipendekeza kwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
lissu hajui siasa ni mtu wa mihemko na kuropoka tu
 
Back
Top Bottom