NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Endeleeni kufurahi kwa kujipongeza wakati kabatini kila kukicha mnafuta Vumbi na kushangilia kombe alilo wapa mangungu la kumfunga mtani.
Hii ni aibu kubwa sana na haina tofauti na masikini kumcheka tajiri kupoteza shilingi Mia.
Timu imetinga nusu fainali, imechukua kombe la ligi na ipo fainali kombe la shirikisho Azam.
Vimba mwananchi vimbaaaaaaaaaa.
Hii ni aibu kubwa sana na haina tofauti na masikini kumcheka tajiri kupoteza shilingi Mia.
Timu imetinga nusu fainali, imechukua kombe la ligi na ipo fainali kombe la shirikisho Azam.
Vimba mwananchi vimbaaaaaaaaaa.