Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Yaani wewe chawa hujawahi kuona msululu wa magari anaoongozana nao mama yenu anaposafiri kwenda Tanganyika bara? Wewe kipofu wa aina gani?
Unafahamu ukumbwa wa magari Elfu moja? Au hata elfu moja huelewi maana yake.
 
Wewe sio m'bukinabe, so nyamaza
 
Raisi bora Africa huyo wewe upo duniagani? Unataka mum fanya kama Sankara ehhh Mungu amlinde huyu jemedali
 
Hauna akili. Silaha ya ibrahim traore ni ishara ya kuwa licha ya wasaidizi wake kuwa tayari kufa kwaajili yake, yeye pia yupo tayari kujilinda hadi tone la mwisho la damu yake. Shenzi type
 
Hauna akili. Silaha ya ibrahim traore ni ishara ya kuwa licha ya wasaidizi wake kuwa tayari kufa kwaajili yake, yeye pia yupo tayari kujilinda hadi tone la mwisho la damu yake. Shenzi type
Kweli wewe huna akili kabisa.
 
Hata Mama Samia nae awe anavaa hivyo na kubeba hayo mabunduki kiunoni,hakuna anayemkataza.
 
Kwa mfano ningekuwa rais wa Tanganyika ningetembea na AK47 Begani kwa ajili ya chawa tu kama nyie..

Mbozi hakika tumepata hasara sana!
 
we mwasambwa huna akili. Kiongozi wa kijeshi, tena anayesakamwa na mabeberu ya dunia nzima unafilia ni jibu gani linafaa kuwa kwa nini astembee na silaha kiunoni? Ivi unafikiri mh. Rais wetu hana siraha? Au hayo mavazi ya kubana ya traore ulitegemea ataificha wapi hiyo bastola? Rais yeyote,namaanisha yeyote licha ya kuwa na walinzi binafsi na walinzi wa kila aina nae ana ulinzi wake binafsi hasa bastola zenye risasi. Sema tu mavazi yao ya kupwaya hasa suruali pana zinaruhusu wafiche silaha zao humo tofauti na traore mwenye mavazi ya kijeshi ya kubana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…