Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Kwamba kuweka silaha kiunoni ikiwa wazi hivyo ndio ulinzi kwako ? Kwamba hawezi kudhurika wakitaka kumdhuru?
 
usimuabudu huyu chawa na vihoja vyake butu,nimemjibu tayari angalia post yangu hapo juu
 
Kwamba kuweka silaha kiunoni ikiwa wazi hivyo ndio ulinzi kwako ? Kwamba hawezi kudhurika wakitaka kumdhuru?
mwanzo nilikwambiaje? Nlikwambia mavazi yake ya kubana ya kijeshi yanamfanya aweke hivyo. Marais na viongozi wote wana silaha kama hiyo kutokana na mavazi yao,mapana plus makoti ndio yanachangia kwa kiasi kikubwa silaha kutoonekana. Unafikiri traore afiche wapi silaha yake hiyo ili isionekane? Zinduka mkuu
 
Rais wa kimapinduzi tena mjeda ni kawaida sana.Mwaka 1800 kuna aliyekuwa akitembea amebeba magobore 15
 
Hoja yako dhaifu sana . umejibu Utafikiri mtoto Mdogo
 
Unaelewa picha hii ilichukuliwa katika tukio lipi? Nimekuambia kuwa unafikiri viongozi mbalimbali duniani hawabebi silaha viunoni mwao? Je umewahi kuona wakiweka kama anavyofanya huyo kijana?
Wewe kama nani umpangie atokeje? Wewe nani anakupangia kuwa leo uvae bikini ya rangi gani? Huna hoja achana na maisha ya watu ambao hawakuhusu.
 
Huyo ni askari mwanamapinduzi aliyeimpindua nchi kwa nguvu na si demokrasia.....vyovyote iwavyo anaweza kuwa na "style" zake katika uongozi alionao....


Ukisikia ile kotapini ya mh.Rais Museveni ndiyo hiyo sasa....yaani ukipataka alipo basi ipitie njia hizohizo zilizomfikisha hapo.....
 
You need to have a firm mental word with yourself β€” β€œYou have no control over this, there is not a thing you can do go change it or stop it, but you CAN control how you act and react. This is my plan when i need to face it β€” i WILL control my emotion, i will co operate and i will go to bed tonight, proud of how i conducted myself today.” No tears , no tantrums, acceptance.
 
Huyo dogo ana ujuaji wa kishamba sana, sasa yeye kama nani ampangie jinsi ya kuvaa Rais wa Taifa lingine? Alikuja Fidel Castro hapa yeye alikuwa na bastola mbili kiunoni yeye anashangaa hiyo moja, kila mtu ana staili yake lakini mshamba ameona ni ishu hadi kuifungulia uzi hapa.
 
ameleta mjadala huru,tumemjibu amekosa cha kujibu ameufyata. Lucas Mwashambwa njoo bhana kuna soda nimekununulia uje uhoji kwa nini wanawake wanavaa ushungi hoja zako zijikite kwa unae muabudu.
 
Ana mentality za kijeshi kumbuka huyo ni mwanajeshi kweli kweli
 
Tangu lini jinga kama wewe likaelewa. Huyo ni mwanamapinduzi na siyo kama ng'ombe Yako. Jinga na mbwa wewe. Kufa Leo kwa mapenzi ya Mungu majinga na misukule ipungue nchini. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…