Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Ndugu zangu Watanzania,

Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.

Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.

Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.

Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.

Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe huwezi elewa, hii ni psychologically game in a world class politics. Kwanza inatakiwa ujue Traore amepata madaraka kijeshi kwaiyo yeye kuwa na gun all the time it send a certain message (intimidation, threat) kwaiyo huu muonekano wake tu unakufanya ufikirie mara 2 kama unataka kumvamia kwa namna yoyote Ile. The world arena always recognize power and power recognize power so Traore utamuona popote duniani hata kwenye ikulu ya America akiwa na gun waziwazi hivyovyo na Trump atampa tano kama kawaida. I don't think you can understand the concept behind everything you see on Traore's outfits.
 
Yeye bado ni Mwanajeshi sio kiongozi wa kiraia wa kawaida !
Ni lazima awe full masinondo kwa lolote lile linaloweza kutokea mahali popote pale !
Mpaka atakapostaafu jeshini ndipo atakapokuwa Kiongozi wa kawaida wa kidemokrasia wa kiraia !!😳 🫡 🙏
 
Wewe huwezi elewa, hii ni psychologically game in a world class politics. Kwanza inatakiwa ujue Traore amepata madaraka kijeshi kwaiyo yeye kuwa na gun all the time it send a certain message (intimidation, threat) kwaiyo huu muonekano wake tu unakufanya ufikirie mara 2 kama unataka kumvamia kwa namna yoyote Ile. The world arena always recognize power and power recognize power so Traore utamuona popote duniani hata kwenye ikulu ya America akiwa na gun waziwazi hivyovyo na Trump atampa tano kama kawaida. I don't think you can understand the concept behind everything you see on Traore's outfits.
True !
 
Wewe huwezi elewa, hii ni psychologically game in a world class politics. Kwanza inatakiwa ujue Traore amepata madaraka kijeshi kwaiyo yeye kuwa na gun all the time it send a certain message (intimidation, threat) kwaiyo huu muonekano wake tu unakufanya ufikirie mara 2 kama unataka kumvamia kwa namna yoyote Ile. The world arena always recognize power and power recognize power so Traore utamuona popote duniani hata kwenye ikulu ya America akiwa na gun waziwazi hivyovyo na Trump atampa tano kama kawaida. I don't think you can understand the concept behind everything you see on Traore's outfits.
Kwani yeye ndio kiongozi wa kwanza kupata madaraka kwa njia ya kijeshi? Kwani Rais wa Misiri yeye hakupata madaraka kwa njia ya kijeshi? Je anafanya hayo ayafanyayo huyo RAIS? Je alipokuwa urussi kuonana na putin uliona akiwa ameweka silaha hiyo kiunoni pake? Kwanini hakuweka ?
 
Yeye bado ni Mwanajeshi sio kiongozi wa kiraia wa kawaida !
Ni lazima awe full masinondo kwa lolote lile linaloweza kutokea mahali popote pale !
Mpaka atakapostaafu jeshini ndipo atakapokuwa Kiongozi wa kawaida wa kidemokrasia wa kiraia !!😳 🫡 🙏
Unamfahamu Rais wa Misiri anaitwa nani? Unafahamu njia aliyoingilia madarakani kwa mara ya kwanza? Je umewahi akifanya hayo ya huyo RAIS?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.

Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.

Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.

Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.

Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lukas endelea na kuipamba ccm na mama samiha huku unapogusa ni maji marefu sana watu wameshauza roho..
 
we mwasambwa huna akili. Kiongozi wa kijeshi, tena anayesakamwa na mabeberu ya dunia nzima unafilia ni jibu gani linafaa kuwa kwa nini astembee na silaha kiunoni? Ivi unafikiri mh. Rais wetu hana siraha? Au hayo mavazi ya kubana ya traore ulitegemea ataificha wapi hiyo bastola? Rais yeyote,namaanisha yeyote licha ya kuwa na walinzi binafsi na walinzi wa kila aina nae ana ulinzi wake binafsi hasa bastola zenye risasi. Sema tu mavazi yao ya kupwaya hasa suruali pana zinaruhusu wafiche silaha zao humo tofauti na traore mwenye mavazi ya kijeshi ya kubana..
Kweli nimeamini huna akili kabisa. Embu nijibu swali kuwa ni wapi uliiona silaha hiyo alipoonana na Rais putin wa Urusi? Kwani yeye ndiye Rais wa kwanza wa Kijeshi kuongoza serikali? Marais wangapi Afrika wameingia kijeshi madarakani na hawajawahi kufanya afanyayo huyu Rais?
 
Unamfahamu Rais wa Misiri anaitwa nani? Unafahamu njia aliyoingilia madarakani kwa mara ya kwanza? Je umewahi akifanya hayo ya huyo RAIS?
Traore ni habari nyingine kabisa !
Traore hayupo pale kama Rais bali kama Kiongozi wa kijeshi wa Bukina faso !
Watu wawili tofauti kabisa !
Mmoja anavaa suti mwingine anavaa kombati 🫡 👍
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.

Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.

Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.

Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.

Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umesahau jinsi Dikteta Uchwara alivyokuwa analindwa na platoon ya askari na magari ya kuzuia mawasiliano ya simu.
Mama yako kwenye picha naoona company ya askari wakati huyu ana watu wanne tuu .
 
Umesahau jinsi Dikteta Uchwara alivyokuwa analindwa na platoon ya askari na magari ya kuzuia mawasiliano ya simu.
Mama yako kwenye picha naoona company ya askari wakati huyu ana watu wanne tuu .
Je uliona nani katika Taifa letu akiweka silaha kiunoni kama hivyo.
 
Back
Top Bottom