Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Kuna kitu kinaitwa FBO,, full battle order! Hususani kwa commando hiyo ni dress code na inamlazimu siraha kuweka wazi kulingana na Hali yake kiusalama ipoje? Ukumbuke huyo kiongoz ameshakoswa kuuwawa mara 10 hivyo anawajibika kulindwa na kujirinda kuonekana kwa siraha vile ni Hali inayompa wepesi hususani kwa muda akihitaji kuitumia kwa haraka pasipo kutokea kikwazo kama akificha itakuwa ngumu kujitetea. Level of security awareness inategemea na usalama wa nchi! Kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo
 
Kuna kitu kinaitwa FBO,, full battle order! Hususani kwa commando hiyo ni dress code na inamlazimu siraha kuweka wazi kulingana na Hali yake kiusalama ipoje? Ukumbuke huyo kiongoz ameshakoswa kuuwawa mara 10 hivyo anawajibika kulindwa na kujirinda kuonekana kwa siraha vile ni Hali inayompa wepesi hususani kwa muda akihitaji kuitumia kwa haraka pasipo kutokea kikwazo kama akificha itakuwa ngumu kujitetea. Level of security awareness inategemea na usalama wa nchi! Kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo
Nionyeshe picha ya silaha kiunoni alipokutana na Putin wa urussi
 
Kweli nimeamini huna akili kabisa. Embu nijibu swali kuwa ni wapi uliiona silaha hiyo alipoonana na Rais putin wa Urusi? Kwani yeye ndiye Rais wa kwanza wa Kijeshi kuongoza serikali? Marais wangapi Afrika wameingia kijeshi madarakani na hawajawahi kufanya afanyayo huyu Rais?
Usijizime data chawa wewe! Traore ni mshirika wa Russia na anapewa suppor zote kutoka huko, na amehakikishiwa usalama na Rais Putin na walinzi wake asilimia kubwa ni kutoka Rusia,niambie chawa wewe unawezaje kwenda sehemu unayoiamini ni salama na friendly kwa maisha yako huku ukiwa na bunduki? Anakuwa nayo mahali ambapo hapaamini kuwa ni sehumu salama. Endelea kulima magimbi mkuu
 
Kabla hatujaongelea ulinzi wa mtu husika tungeongelea ulinzi wa mali za UMMA which most of the leaders (walamba asali) have failed to do..., bora huyo anayeonyesha tu image yake au swagger (haina hasara kwa kodi za wenyenchi) kuliko hawa wanaotumia misafara ya magari ambayo trip moja tu ingeweza kuongeza idadi ya ambulance...
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.

Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.

Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.

Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.

Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu bulletproof kwa maraisi unalizungumzia vipi?
 
Usijizime data chawa wewe! Traore ni mshirika wa Russia na anapewa suppor zote kutoka huko, na amehakikishiwa usalama na Rais Putin na walinzi wake asilimia kubwa ni kutoka Rusia,niambie chawa wewe unawezaje kwenda sehemu unayoiamini ni salama na friendly kwa maisha yako huku ukiwa na bunduki? Anakuwa nayo mahali ambapo hapaamini kuwa ni sehumu salama. Endelea kulima magimbi mkuu
Sasa anaenda kufanya nini mahali ambapo hapaamini? Kwani analazimishwa kwenda eneo ambalo anaona hakuna usalama?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.

Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.

Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.

Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.

Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_20250102-083817.jpg
 
Mkuu mbona nimekujibu vzr kbsaaa? Nimekwambia inategemea na level of security awareness ya nchi! Kulingana na ukilaza wangu,, lkn sipingani na ujuaji wako,
Nionyeshe picha ya silaha kiunoni alipokutana na Putin wa urussi
Mkuu mbona nimekujibu vzr kbsaaa? Nimekwambia inategemea na level of security awareness ya nchi ndugu yangu? Kulingana na ukilaza wangu Sina nguvu yakukupinga kwa ujuvi wako!
Nionyeshe picha ya silaha kiunoni alipokutana na Putin wa urussi
 
Sasa anaenda kufanya nini mahali ambapo hapaamini? Kwani analazimishwa kwenda eneo ambalo anaona hakuna usalama?
Ndo maana nikakwambia huna akili, sehem salama zaidi kwa maisha yake ni Russia tu na si kwingine. Ila ataishije huku kwingine ili hali hapaamini? Ndo kama hivyo anaamua kutembea na bastora yenye risasi, maadui zake hasa France wanaweza kujipenyeza popote isipokuwa Russia na kutekeleza mauaji yake,hivyo akiwa sehemu hizo lazma aongeza ulinzi binafsi. Kwa nini aende sehemu anayoamini kuwa si salama? Traore ni kiongozi wa Burkina Faso, anatafuta support both kidiplomasia,kiuchumi,kisiasa na kimataifa hivyo analazimika kutembelea sehemu hizo kwa maslahi ya taifa lake lakini kwa tahadhari kubwa.
 
Back
Top Bottom