Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Inaelezwa kuwa timu ya Tabora United imeahidiwa Tsh. Milioni 100 kama itamfunga Simba kwenye NBC PL leo, Februari 2, 2024.
Sioni Simba akishinda leo.
Sioni Simba akishinda leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumwa dege dege...ama haujameza dawa zako BRONAZEPAM TABSInaelezwa kuwa timu ya Tabora United imeahidiwa Tsh. Milioni 100 kama itamfunga Simba kwenye NBC PL leo, Februari 2, 2024.
Sioni Simba akishinda leo.
View attachment 3221992
Hujui kitu dogo. Wachezaji wa Simba wameshafungwa matofali miguuni na kipa amefungwa mikononi matofal.subir dk 90Unaumwa dege dege...ama haujameza dawa zako BRONAZEPAM TABS
Simba iliyo mfunga mwarabu na kushika namba moja group stage afungwe na Tabora?
Simba yakimataifa hii uwekezaji mkubwa..timu kubwa..wachezaji wakubwa..Leo ndio mtajua hatubahatishi
Unaita mtu mwenye lika la baba , mjomba Kwako dogo.Hujui kitu dogo. Wachezaji wa Simba wameshafungwa matofali miguuni na kipa amefungwa mikononi matofal.subir dk 90
Dogo unajitanua mikono mabega madogoUnaita mtu mwenye lika la baba , mjomba Kwako dogo.
Hujafundwa wewe tukutane kapa saa 12
Salamaleko 🏃🏃🏃🏃Dogo unajitanua mikono mabega madogo
Izo bonas za mech zipo kwa timu zote, Ata ao Simba wana Bonas zao kama timu ikishinda au kutoa Sare.
Binas zinapanda kulingana na ukubwa wa mechi.
Bahati mbaya kuna wapuuzi wakiona timu za daraja la kati ziki ahidiwa dau kubwa zinapocheza na vigogo wana kereka na kuona hawastaili.
Kuna timu mfano Simba, imekua ikiahidiwa bonas kubwa pindi ichezapo na Yanga na kwa mechi nne mfululizo wamekua wakipoteza.
Mara ya Mwisho , Mwekezaji aliwaahidi kila mchezaji atapata fedha ya kumfanya au age umaskini lakini bado walifungwa na Yanga.
100m za geko.... Mtoto halali na hela ,watu Wana washwa washwa sijui tatizo ni Nini 😇Bado hujaona hadi sasa
Hujui kitu dogo. Wachezaji wa Simba wameshafungwa matofali miguuni na kipa amefungwa mikononi matofal.subir dk 90![]()
Dk ya 70,s Tabora utd 0-3 Simba100m za geko.... Mtoto halali na hela ,watu Wana washwa washwa sijui tatizo ni Nini 😇
Simba 2 _ 0 Tabora united
Simba ni Simba sio yangaInaelezwa kuwa timu ya Tabora United imeahidiwa Tsh. Milioni 100 kama itamfunga Simba kwenye NBC PL leo, Februari 2, 2024.
Sioni Simba akishinda leo.
View attachment 3221992