Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Una chochote Cha kuzungumza π€ ποΈ π€ ποΈ π€ ποΈDogo unajitanua mikono mabega madogo
Hawa madogo hovyo sana. Wanacheza kama wana majipu kwenye makalioUna chochote Cha kuzungumza π€ ποΈ π€ ποΈ π€ ποΈ
Usitolee macho mwanaume akiwa na Jambo lake..
πβΊοΈπβΊοΈ
Ukiondoa Azam na yanga sioni timu ya kuizuia Simba π¦ NBC premier Ligue MSIMU huu.Hawa madogo hovyo sana. Wanacheza kama wana majipu kwenye makalio
Wawaulize wenzao Singida sijui big fountains waliahidiwa milioni 500 zaidi hata ya pesa ya ubingwa lakini wapi. Na wanaoahidi sio vichwa maji kama wewe hapo, wanajua kabisa pesa yao iko salamaInaelezwa kuwa timu ya Tabora United imeahidiwa Tsh. Milioni 100 kama itamfunga Simba kwenye NBC PL leo, Februari 2, 2024.
Sioni Simba akishinda leo.
View attachment 3221992
Simba haitachukua kombe hili nakuambia.Ukiondoa Azam na yanga sioni timu ya kuizuia Simba π¦ NBC premier Ligue MSIMU huu.
Mkuu tunakuombea msamaha usipigwe banioπ βΊοΈβΊοΈππSimba haitachukua kombe hili nakuambia.
Hawa madogo hovyo sana. Wanacheza kama wana majipu kwenye makalioMkuu tunakuombea msamaha usipigwe banioπ βΊοΈβΊοΈππ
Bado hujasema..π ππHawa madogo hovyo sana. Wanacheza kama wana majipu kwenye makalio
Ukisikia akili matope sasa ndiyo hiziInaelezwa kuwa timu ya Tabora United imeahidiwa Tsh. Milioni 100 kama itamfunga Simba kwenye NBC PL leo, Februari 2, 2024.
Sioni Simba akishinda leo.
View attachment 3221992
Umeandika kitu unachokijua kwelii! Kwamba bonus za Gsm ili Simba ifungwe zipo na Simba pia.Izo bonas za mech zipo kwa timu zote, Ata ao Simba wana Bonas zao kama timu ikishinda au kutoa Sare.
Binas zinapanda kulingana na ukubwa wa mechi.
Bahati mbaya kuna wapuuzi wakiona timu za daraja la kati ziki ahidiwa dau kubwa zinapocheza na vigogo wana kereka na kuona hawastaili.
Kuna timu mfano Simba, imekua ikiahidiwa bonas kubwa pindi ichezapo na Yanga na kwa mechi nne mfululizo wamekua wakipoteza.
Mara ya Mwisho , Mwekezaji aliwaahidi kila mchezaji atapata fedha ya kumfanya au age umaskini lakini bado walifungwa na Yanga.