Sioni vifurushi vya usiku katika menyu za mitandao ya simu, au navyo ndiyo kwaheri?

Sioni vifurushi vya usiku katika menyu za mitandao ya simu, au navyo ndiyo kwaheri?

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Habari zenu wanajukwa.

Naomba kujua vile virushi vya kuanzia saa sita usiku vilikuwa vinalundo la dakika, sms na mb havipo tangu bei za vifurushi kupanda? kama vipo vinapatikana kwa menyu zipi kwa mtandoa wako unaotumia.
 
Ingia menu *148*30# alafu unaingia internet*alafu bandika bandua alafu chagua kifurushi cha siku*alafu utaona kuna kifurushi cha 2500tsh gb 10.
dah! mkuu nimeingia hapa nimefanikiwa kujiunga kwa namba uliyonipa asante
 
TTCL wameondoa ile toboa tobo na kusogeza Muda wa bandika bandua!!!
So iliyo baki ni hiyo ya 1000 unapewa 500mb mchana na 3.5GB usiku au 2500 unapewa 1GB mchana na 9Gb usiku
 
TTCL wameondoa ile toboa tobo na kusogeza Muda wa bandika bandua!!!
So iliyo baki ni hiyo ya 1000 unapewa 500mb mchana na 3.5GB usiku au 2500 unapewa 1GB mchana na 9Gb usiku
leo itabidi nikeshe tu kwakweli
 
Naona airtel wamebinya kila kitu...na speed ya internet imekuwa chini mno.
Voda ile menu ya vifurushi vya chuo haipo tena...
 
Naona airtel wamebinya kila kitu...na speed ya internet imekuwa chini mno.
Voda ile menu ya vifurushi vya chuo haipo tena...
ttcl wenyewe pamoja kwamba wana cha usiku gb4 kwa 1000 lakini speed yao ya kobe uwezi amini software ya gb 4 tangu usiku saa sita ndiyoi inamaliza kudownload sahivi imebidi niongezee bando kwa voda nimalizie kodownload.
 
Back
Top Bottom