Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu niambie unakwamishwa na nini kuja upya PM ili nikufanyie wepesi
Asa nifanyaje?Kuna mtihani ukishaumaliza ukafaulu, ukijiuliza niliuvukaje hupati jibu.
Ndo kama hii sasa, naona kabisa nikija upya nitafeli.
Asa nifanyaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF hakunaga madem, wote ni wanaume,
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23]wote ni wanaume, ukitongoza jua unatongoza dume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lolUmejiuliza ukajijibu,ukajiuliza ukaanza kudoubt unachowaza kama kina ukweli
Wewe amini unachoamini,ukiona ID ukadhani itakuwa sawa na matarajio yako then go for it....mwisho wa siku hautakufa kama ukikuta ndivyo sivyo bali utakuwa dissappointed kidogo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naunga hoja Kama kichwa Cha habari kinavyosomeka.
[emoji2957][emoji3][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]