Sioni wadada humu JF

Sioni wadada humu JF

Hebu niambie unakwamishwa na nini kuja upya PM ili nikufanyie wepesi

Kuna mtihani ukishaumaliza ukafaulu, ukijiuliza niliuvukaje hupati jibu.

Ndo kama hii sasa, naona kabisa nikija upya nitafeli.
 
Umejiuliza ukajijibu,ukajiuliza ukaanza kudoubt unachowaza kama kina ukweli

Wewe amini unachoamini,ukiona ID ukadhani itakuwa sawa na matarajio yako then go for it....mwisho wa siku hautakufa kama ukikuta ndivyo sivyo bali utakuwa dissappointed kidogo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lol
 
Back
Top Bottom