Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
SIYO DAWA ZOTE ZIPO KWENYE MADUKA YA MADAWA 🙋♀️🙋♀️
1.Kufunga ni dawa nzuri.
2.Kufanya mazoezi ni dawa.
3.Kicheko ni dawa.
4.Kula vyakula vya asili ni dawa.
5.Mboga mboga na matunda ni dawa.
6.Usingizi ni dawa.
7.Mwanga wa Jua la asubuhi ni dawa.
8.Kuwa na marafiki wazuri au kuzungukwa na watu wazuri ni dawa.
9.Kunywa maji mengi hasa kipindi hiki cha joto Kali ni dawa.
10.Kuwa na shukurani ni dawa.
11. Kujipenda na kuwapenda wengine ni dawa.
12. Kujisamehe, kuacha Kosa, na kuwasamehe wengine ni dawa.
13.Kuwa na moyo uliochangamka na wenye amani ni dawa.
14.Kumtegemea Mungu ni dawa.
Ukifata hayo hapo Kuna siku utakuja kunishukuru kwa ajili ya mustakabali wa afya yako mwenyewe.
15.kushabikia Yanga
1.Kufunga ni dawa nzuri.
2.Kufanya mazoezi ni dawa.
3.Kicheko ni dawa.
4.Kula vyakula vya asili ni dawa.
5.Mboga mboga na matunda ni dawa.
6.Usingizi ni dawa.
7.Mwanga wa Jua la asubuhi ni dawa.
8.Kuwa na marafiki wazuri au kuzungukwa na watu wazuri ni dawa.
9.Kunywa maji mengi hasa kipindi hiki cha joto Kali ni dawa.
10.Kuwa na shukurani ni dawa.
11. Kujipenda na kuwapenda wengine ni dawa.
12. Kujisamehe, kuacha Kosa, na kuwasamehe wengine ni dawa.
13.Kuwa na moyo uliochangamka na wenye amani ni dawa.
14.Kumtegemea Mungu ni dawa.
Ukifata hayo hapo Kuna siku utakuja kunishukuru kwa ajili ya mustakabali wa afya yako mwenyewe.
15.kushabikia Yanga