Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Dr. Nimekaa wiki mbili bila kupa choo, hii isha nitokea zaidi ya mara nne, nikipiga ulabu tumbo linafungunga. Je hii hali ni ya kawaida? Pombe ina nini kinachonifanya nipate choo?