EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Yaani aalivyokuwa anamchora JPM na boonge la komo sijui kama macho ya mama Suluhu yatasalimika
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tusubiri tuone maadam kawa Rais atachorwa saanaKP bana,angalau kidoogo akumtoa vibaya mama Samia.
Hio ya zamani kabla hajawa #1Hupati picha!? Hiyo katuni sio ya samia suluhu iliyochorwa na kipanya!?
Majicho vip?KP bana,angalau kidoogo akumtoa vibaya mama Samia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila hayati JPM alikuwa anamuongezea bhana.
Ila mwenyewe wala hakuwa na makuu...anaangalia na kucheka tu.
R.I.P jembe letu baba Jesca....
Yaan huyu mama atakomaKipanya bana..kamtoa SSH na macho mazuri.
Msicheke huyu jamaa saivi anamfanyia mazoezi[emoji3][emoji3]Majicho vip?
HatobadiliHio ya zamani kabla hajawa #1
Mkuu usicheke we subiri mazishi yaishe uone shughuli yakeHahaha
Ila huyu mama maisha ya familia yake yapo usiri sana.Mkuu usicheke we subiri mazishi yaishe uone shughuli yake
Huyu mumewe huenda akawa ni wale wababa waliopigwa shuntama,wanakuwa hawatoki nyumbaniIla huyu mama maisha ya familia yake yapo usiri sana.
Leo ndio nimemuona mumewe...
Shikamooni wabongo.Huyu mumewe huenda akawa ni wale wababa waliopigwa shuntama,wanakuwa hawatoki nyumbani