Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Kiasi. Ahsante
 
Haaaaahaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]nilikuwa nakusubiria kwa hamu!

Eti hata aliyeitengeza anaichukia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha nakuona unakatiza tu huku na maswali yako

Nikikuona kwenye uzi wowote naganda hapo maana kwa maswali yako hata kama mtu alikuwa hataki kufunguka mbona atafunguka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!; kumbe ndo ilivyooo!!!

Mjini hapa kazi ipoo!

Sasa kwa nini wanakunywa hayo madawa jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weee.....pole sanaaaaa!!hapo mwasubiri tu taarifa ya msiba atiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaaahaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]nilikuwa nakusubiria kwa hamu!

Eti hata aliyeitengeza anaichukia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dah
Ndio bongo PORTE utaikuta wapi zaidi ya bongo ? Ile gari hata aliye itengeneza nadhani anaichukia .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu mpo vizuri mnamafaili,mpaka ya kwenye familia za watu,.
 
Hahahaha nakuona unakatiza tu huku na maswali yako

Nikikuona kwenye uzi wowote naganda hapo maana kwa maswali yako hata kama mtu alikuwa hataki kufunguka mbona atafunguka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji85][emoji85][emoji85]

We jamaa unanichekeshaga sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…