Let past be past tugange yajayo
For sure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let past be past tugange yajayo
Lol. Sio lazma umkubali kila anaeku approach😜 Nancy Sumari ni mzuri sana na anajielewa.
Hivi kizazi cha juzikati hapa,kinawajua hao watu uliowataja kweli..?
Mb dod mbaya na hajielewi??Lol. Sio lazma umkubali kila anaeku approach[emoji12] Nancy Sumari ni mzuri sana na anajielewa.
Classy unaidadavua vp mkuu?nimejikuta naikumbuka siku niliyokutana na vee money pale city mall azizi house of jeans
ni kafupi hakana nyama... yani kadogoooo sema tu kapo sexy and she got class....
she is super classy na hyo class ndio inafukia mapungufu yote IUKWIM
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazi msumari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji1787]KUNA MAKUNDI YAFUATAYO MKUU HUTAKIWI KUYAAMINI UKIWA HAI.
1. WANASIASA-USIWAAMINI HATA KIDOGO MKUU WANAJALIMATUMBO YAO NA YAFAMILIA ZILIZO KARIBU NAO. MFANO = NASARI
2. WASANII-HAWA WAPO RADHI KUDHALILIKA ILIMRADI KUPATA UMAARUFU MFANO=AMABA RUTY, NAHAPA INCLUDE HII MADA YAKO. HUENDA HUYO NAZI MSUMARI ALIMLIPA PESA MB DOG ILIAMUIMBE ILI JINA LAKE LIWEJUU THE SAME TO YOU, HUENDA UMELIPWA KUTULETEA HII MADA YAKO HAPA.
3. DALALI-USIMUAMINI DALALI HATA ONE DAY.
4. MCHEPUKO
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu km unatuchezea sere hapa,ni hvyo kweli au ule ugonjwamkuu hujaelewa wapi? hizo herufi za "IUKWIM" au kama ni hizo ni kifupi cha IF U KNOW WHAT I MEAN
dada angu na ww ni wapi pamekutatiza [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio hyo mkuu siyo ugonjwa bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu km unatuchezea sere hapa,ni hvyo kweli au ule ugonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
throw back timehahahah... ni throw back tuesday or throw back thursday
Tshirt mb dog,yakuza mobMdogo wangu enzi hizo mtoto sumari katoka Maasai Girls Nairobi. Kaka mkubwa akitokea mitaa ya manzese na mabibo kwa mapozi haya angefanikiwa kumng'oa kweli?View attachment 1046445
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizingatia hapo full kunuka mibange.
Hili neno chawa mna maana gani?Tangu lini mdangaji anayejinasibu kwa wadhifa wa usomi akaliwa na chawa wa qs mhonda??
Nadhan uliwahi kusema ndio role model wakoWema alikuwa ni mzuri sana yule dada kuliko mamiss wote...yaan miaka ya 2011/12 ukikutana nae unapiga salute....kaja kujiharibu tu maskini!
Na sasa hivi ndo kabisaa[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji33] [emoji33] [emoji33] rip in advance veenimejikuta naikumbuka siku niliyokutana na vee money pale city mall azizi house of jeans
ni kafupi hakana nyama... yani kadogoooo sema tu kapo sexy and she got class....
she is super classy na hyo class ndio inafukia mapungufu yote IUKWIM
Sent using Jamii Forums mobile app
siyo ukimwi mzee 😂😂😂😂... i meant "IF U KNOW WHAT I MEAN" (IUKWIM)[emoji33] [emoji33] [emoji33] rip in advance vee
Mzee mengi kala hadi jokate?
Hahaa jamaa ni mfupi
Kwahyo Mg Doggy ni mbaya sana na hajielewi?Lol. Sio lazma umkubali kila anaeku approach[emoji12] Nancy Sumari ni mzuri sana na anajielewa.