Sawa. Nisamehe nilipokukwaza.Poleni sana kwa kusumbuliwa na Stress za kuachwa na Mabwana zenu ww na huyo Shoga mwenzio. Ila hizo Stress zenu pelekeni hukohuko kwenu sio ku Quote msg za watu waliomsifia Nancy Sumary na kuanza malumbano. Kosa langu nn hapo kumsifia Nancy kwamba ana tabia nzr ndo iwe ugomvi, UKOME kuni QUOTE. Sina muda wa kuzozana na Mashoga. Case Closed [emoji112]
Jina lake anaitwa Mbwana!Ahahah.Sasa Mb dog si jina la kazi tu!?nyie wa kaskazi si mnataka pesa mbele sasa jina linahsu nn hapo kama chapaa ipo na mapenzi yapo?
Hii sentensi ya mwisho mkuu nijiongeze tu?nimejikuta naikumbuka siku niliyokutana na vee money pale city mall azizi house of jeans
ni kafupi hakana nyama... yani kadogoooo sema tu kapo sexy and she got class....
she is super classy na hyo class ndio inafukia mapungufu yote IUKWIM
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mkuu nimeitolea ufafanuzi sana huko juu.. [emoji23][emoji23]Hii sentensi ya mwisho mkuu nijiongeze tu?
Sio kweli huyo wema wa miaka hyo tajwa mbn alikua mbovu tuuWema alikuwa ni mzuri sana yule dada kuliko mamiss wote...yaan miaka ya 2011/12 ukikutana nae unapiga salute....kaja kujiharibu tu maskini!
Na sasa hivi ndo kabisaa[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda wali scramble hizo alphabet wakapata neno UKIMWI ..mkuu hujaelewa wapi? hizo herufi za "IUKWIM" au kama ni hizo ni kifupi cha IF U KNOW WHAT I MEAN
dada angu na ww ni wapi pamekutatiza [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huenda wali scramble hizo alphabet wakapata neno UKIMWI ..
Kwahiyo Mbwana haiwez ku match Nancy?
Status ndo inayowabebaMkuu hawa madadas wote uwaonao kwa Instagram usiombe uonane nao anakwaana.Ni vituko,japo wengine hawaja pishana sana na uhalisia wao kama Jack wa Mengi naona yupo vilevile tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol. Sio lazma umkubali kila anaeku approach[emoji12] Nancy Sumari ni mzuri sana na anajielewa.
Alitumia akili na sio moyoMada yako ni nzuri sana na ina mafunzo mengi. Kuna wengi yamewapata makubwa kwa sababu ya kutokuwa na ubongo wa kuona mbali kama huyo mwana dada unayemzungumzia. Hmna kiti kibaya na cha hovyo kama mwanamke kujirahisisha kwa wanaume just kwa kuangalia umaarufu walio nayo bila kuangalia future yao.
Nd maana yake, hizo Tuesday au Thursday ndo nimesikia huku
Ahahahahahahahahahahahahahahahah.
Irene yupo CRDB Bank branch ya Mikocheni mkuuThose day MB Dogg ametoa Latifa imenibamba vilivyo ilikuwa inaniburudisha dhidi ya machungu ya kutompata demu mmoja mkali sana pale sekondari ya Benjamin Mkapa Mitaa ya Uhuru kariakoo mtoto alikuwa anaitwa IRENE KIDUNDA sijui yuko wapi yule mtoto alikuwa white ,slim mwendo wa madaha ,very clean and Neath jamaani
Irene sijui yuko wapi nimemiss sana hahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaNa wewe boy friend wawili wote wa nini? Mmoja si umwachie mdogo wako!