Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
SMH = Shaking My Head
SMDH = Shaking My Damn Head
SMDH= shaking my D**k head
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SMH = Shaking My Head
SMDH = Shaking My Damn Head
Na wanavyodai kuwa ule ukuni huwa ni direct proportional na urefu wa mtu lazma umuonee huruma
I f^kin second u son, no wonder (they say) the bi:tch stole her sister's man only for her to marry himFor some strange reasons I hate that bitch
I find her sneaky and devilish
Nakaaya has my respects!
Fvck that fake bitch whatever the fvck name is.....
Hakuna mwanamke wa hvyo , ni upendo Tu unaweza mfanya mwanamke akawa na fikra za hvyo....mwanamke yupo designed to solve immediately problem linalomkabil bas, hata huyo nancy alienda Kwa bwana aliye naye kwa sababu jamaa alikuwa nazo na sio kwa sababu jamaa hakuwa nazo ila alikuwa na mikakati ya kuwa nazoMwanamke mwenye akil haangalii alichonacho (tangible) mtu kwa muda huo
Bali anaangalia ana akil gan ya future
Possible nancy hakuliona hilo kwa mb dogy
Sent using Jamii Forums mobile app
ningebarikiwaga vihera vya kibadirishia gari mjini hapa,huyu jamaa ningemdhurumu.ningepiga huyu manzi.
anything could happen. Chances are wangeweza ku uplift each to the better endKipindi msanii huyu ana-hit na ngoma zake zile Latifa na Mapenzi Kitu Gani alifunguka kwamba anampenda Nancy Sumari na anatamani awe hata mkewe wa ndoa.
Kwa namna jamaa alivyokuwa juu, si rahisi kwa mdada yeyote kuchomoa ofa ya kuwa naye. Warembo walimpapatikia sana na ofkoz alitawala wingu la Bongo Fleva. Historia inakumbuka.
Na enzi hizo Nancy ndio alitoka kunyakua ushindi wa Miss World Africa.
Jamaa akashindwa kujizuia. Kila akihojiwa akawa anasema wazi anamzimikia sana Nancy Sumari. Na ndoto zake zitatimia akifanikiwa kumnasa maana lengo lake halikuwa kumchezea bali kumuoa kabisa.
Kama haitoshi, Doggy Man akarekodi wimbo mahususi kwa ajili ya Nancy akafunguka ya moyoni. Ngoma ilihit sana kwa wanaoikumbuka. Iliitwa "Ina maana".
Sikumbuki kama Nancy alizungumzia chochote.
Leo nimemuona Nancy sehemu nikawaza laiti angemkubalia jamaa wawe couple wangekuwaje leo hii? Kama angemkubalia kwa sababu ya umaarufu, wangedumu kweli?
Shubaamita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hakuwa talented kihivyo. Msikilize hata leo. Sema kwa aina ya muziki aliokuwa anafanya ni kama ilikuwa ngeni na hakuwa na washindani kivile.Jamaa alikuwa so talented, sijui alifeli wapi yan
Wala hakuwa talented kihivyo. Msikilize hata leo. Sema kwa aina ya muziki aliokuwa anafanya ni kama ilikuwa ngeni na hakuwa na washindani kivile.
Hata mie ngoma zake nilizipenda, lakini vocally ukimuweka na wenye vocal zao anatepweta tu!alikuwa talented bana mkuu,acha tumpe sifa zake,mimi mpaka leo huwa nasikiliza ngoma kama INAMAANA na LATIFA bado zina utamu
Vee money n mzuri acha uwongo weeeeeh, lolBasi jitahidi uonane na kale nanaitwa Vmoney daahh aibu,kuna huyo Linnah,Shilole,kuna mtangazaji anaitwa Salma Msangi yaani kama jini alivyojikondea,.Kwakweli umaarufu unawabeba tu.Ila mzee baba Jojo kwasasa kawa mtamu kimtindo tofaiti na miaka hiyo 5 uliyomuona.[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app