Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Duh
 
Hahahhahaa
Kama kweli we ni muhenga unamjua Sumbi na Bocha?
Hahahahaaaaaaaaa, hapa umempata maana hao jamaa hata akiwagoogle hapati results za kueleweka..ni wakongwe tu ndo tunawapata hao wakongwe kwenye tathnia ya bongo movie...😂.mkuu umenikumbusha mbali sana yani, hawa jamaa cjui walipotelea wapi aise
 
1. Inamana
2. Mapenzi kitu gani
3. Si ulinambia
4. Sagaplasha
5. Natamani
Huyu jamaa yuko wapi aseeh unafiki mbaya alikua anajua
 
1. Inamana
2. Mapenzi kitu gani
3. Si ulinambia
4. Sagaplasha
5. Natamani
Huyu jamaa yuko wapi aseeh unafiki mbaya alikua anajua
Sanaa, wadada wamekili sana humu JF kumpenda enzi zake, hata yeye kuna wimbo amesema hayo
nikirudi kwenye swali lako, jamaa yupo bana hapo Dar ila anadai aliumwaga sana koo sababu alilogwa hivo basi akashindwa kuendelea na muziki kwa miaka mingi, ila sasa yupo powa
 
Daaah maisha yanaenda kasi sanaaa.....kuna muda maisha sio fair; Madee alokua anaimbishwa chorus kwenye nyimbo za jamaa eti leo ana maisha mazuri kuliko Mb Dog?!!
 
Povu la nini bab!?
Ndio maana nikaanza kwa kusema suala la uzuri is relative thing!depends on someone's angle of interest.
Basi tufaye dada zako ww na girlfrnd wako ndio wazur basi na hao niliowataja woote nao wazur basi ili ufurah
[emoji23]
 
Jamaa alihamishia hasira studio,akatoa ngoma kali akazidedicate kwa mrembo.
Mapenzi kitu gani
Latifah
Ina maana
Natamani
 
Daaah maisha yanaenda kasi sanaaa.....kuna muda maisha sio fair; Madee alokua anaimbishwa chorus kwenye nyimbo za jamaa eti leo ana maisha mazuri kuliko Mb Dog?!!
Madee aliimbishwa chorus???
 
Usizunguke mbuyu bro.
Itakuwa alimkataa sababu ya ufupi. Jamaa kafupi sana. KalijAribu kuboot height kwa Afro lakini wapi?.

Wanaume wafupi harakati zao kwa mademu huwa kama za pimbi.
Hahahah
 
Usizunguke mbuyu bro.
Itakuwa alimkataa sababu ya ufupi. Jamaa kafupi sana. KalijAribu kuboot height kwa Afro lakini wapi?.

Wanaume wafupi harakati zao kwa mademu huwa kama za pimbi.
Hahaha.. Ila kweli jamaa ni mfupi.halafu binti sumari ni mrefu..wanawake wanatuchukia sana sisi wanaume wafupi
 
Hahaha.. Ila kweli jamaa ni mfupi.halafu binti sumari ni mrefu..wanawake wanatuchukia sana sisi wanaume wafupi
Hahhhaaa kweli kbs yan mwanaume mfupi atafute kigezo zaidi cha kumiliki mwanamke
Pesa
Mapenzi ya kitandani
Umaarufu
Au awe na sura nzuri
 
Bora Bi. Mkubwa hakujichanganya kwa msela. Angekua kachakaa balaa na Ngwengwe juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…