Si ajabu alishahangaika mpaka basi. Mtu mpaka anatunga wimbo maalum na yupo kwenye peak sio masihara ujue.
Okay. We are getting close..
Hate is a strong word. There must be a strong feeling behind it.
What is it?
And why did you bring Nakaaya (her sister) in the picture?
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejikuta naikumbuka siku niliyokutana na vee money pale city mall azizi house of jeans
ni kafupi hakana nyama... yani kadogoooo sema tu kapo sexy and she got class....
she is super classy na hyo class ndio inafukia mapungufu yote IUKWIM
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nitafsirie hyo herufi kubwa apo mwishoHapo mwisho nimeelewa vizuri au?
Nami sijaelewa hapo, ngoja tusubiri ufafanuzi.Hapo mwisho nimeelewa vizuri au?
Duhh !!!!Kila girl anaangalia sehem yenye ugali wa maisha k lyn ka[emoji28][emoji173][emoji870]kimbilia kwa mengi na nancy kakimbilia kwa mhindi neggesti anapaa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi msanii huyu ana-hit na ngoma zake zile Latifa na Mapenzi Kitu Gani alifunguka kwamba anampenda Nancy Sumari na anatamani awe hata mkewe wa ndoa.
Kwa namna jamaa alivyokuwa juu, si rahisi kwa mdada yeyote kuchomoa ofa ya kuwa naye. Warembo walimpapatikia sana na ofkoz alitawala wingu la Bongo Fleva. Historia inakumbuka.
Na enzi hizo Nancy ndio alitoka kunyakua ushindi wa Miss World Africa.
Jamaa akashindwa kujizuia. Kila akihojiwa akawa anasema wazi anamzimikia sana Nancy Sumari. Na ndoto zake zitatimia akifanikiwa kumnasa maana lengo lake halikuwa kumchezea bali kumuoa kabisa.
Kama haitoshi, Doggy Man akarekodi wimbo mahususi kwa ajili ya Nancy akafunguka ya moyoni. Ngoma ilihit sana kwa wanaoikumbuka. Iliitwa "Ina maana".
Sikumbuki kama Nancy alizungumzia chochote.
Leo nimemuona Nancy sehemu nikawaza laiti angemkubalia jamaa wawe couple wangekuwaje leo hii? Kama angemkubalia kwa sababu ya umaarufu, wangedumu kweli?
Shubaamita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho nimeelewa vizuri au?
Naomba nitafsirie hyo herufi kubwa apo mwisho
Mwamapalala, Sikonge au?Kwamba wangekuwa wanalima karanga na viazi vitamu huko mwamapalala ingekuwa ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ww kazia tu hapo kwenye kujielewa kwake hayo ya uzuri kila mmoja ana definition yake.
Nimekutana na Nancy kama miaka mwil ilopita pale NMB hq mpya karib na Srena hotel aisee, trust me kwanza hata sikuweza kumjua kama ni yeye.Uzuri nilokua namuona nao kwenye tv na ule urefu wake aisee ni tofauti kabisaa nilivyomuona.tofauti sanaa.Sio m baya actually lakin ni wa kawaida tu.Kawaida.
Lakin nakubal yule dada alikua anajielewa sana nadhan hata kind of company anayojichanganya nayo pia ni cream brains tofauti na hawa masapwala wengine akina wema.
mkuu umekula like yangu si kwa ajili ya ujumbe hapana mie lugha ya malkia tu hata uki define history unakula like yangu japo ujumbe wako nao si habaBro
Hate is just a feeling like any other mzee,kama wewe unavyompenda mimi namchukia the other side!
Sijui kwanini watu wana phobia na neno HATE?As if mtu hurusiwi ku-hate!!
Naakaya ni sibling wake ndio maana I brought her up,I like her more...
So,fvck it,I hate fake motherfuckers like this sneaky bitch...
I hate that sleazy slot just for the fvck of it...
Dont get twisted,sina sijui some personal feelings or such and such smell towards the bitch
Kaka angu ni hyo hyo si unajua ngeli ni tatizo hasa vifupishomkuu hujaelewa wapi? hizo herufi za "IUKWIM" au kama ni hizo ni kifupi cha IF U KNOW WHAT I MEAN
dada angu na ww ni wapi pamekutatiza [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app