[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kaliLeo nilipo ingia jikoni nikamuona *sisimizi* mmoja kwenye kabati nikamuwekea *visukari* kidogo mbele yake akaanza kulamba na baadae kidogo akaenda kuwaita wenzake. Alipoondoka me nikaifuta ile sukari ili wenzie wamwone *muongo*.
*SIPENDAGI UJINGA MIMI* [emoji35][emoji35][emoji35][emoji12]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ,umetshaaa sanaLeo nilipo ingia jikoni nikamuona *sisimizi* mmoja kwenye kabati nikamuwekea *visukari* kidogo mbele yake akaanza kulamba na baadae kidogo akaenda kuwaita wenzake. Alipoondoka me nikaifuta ile sukari ili wenzie wamwone *muongo*.
*SIPENDAGI UJINGA MIMI* [emoji35][emoji35][emoji35][emoji12]