Sipendezwi na tabia ya Baadhi ya Wafuasi na viongozi wa CHADEMA kuita viongozi wa vyama vingine Majina ya Matusi, kejeli na dhihaka

Sipendezwi na tabia ya Baadhi ya Wafuasi na viongozi wa CHADEMA kuita viongozi wa vyama vingine Majina ya Matusi, kejeli na dhihaka

SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
ndivyo walivyolelewa na mama zao- wengi wao hawakuona na kupata ulezi wa baba
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mimi binafsi napendezwa, ni vema chadema waendelee kuwaita yanawafiti.
 
Wakati CHADEMA wanatukanwa kwako sio issue kabisa. Huwa sipendi wanafiki Kama wewe wanaoegemea upande mmoja tu wa shilingi na kujiona wapo sahihi.
 
Nashukuru Kwa ukaribisho Mkûu lakini Kwa heshima yako naomba niwe MTU Huru àmbaye nitaweza kuwaweka Sawa ninyi ndugu wawili CCM na CHADEMA pasipo kumwonea au kumpendelea yeyote kwani sitakuwa na maslahi na Chama chochote
Ngumu mkuu...nisiwe mnafiki haiwezekani tu:Kucheka na anaye kuwinda akuangamize?:
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano la ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Tatizo la wafuasi wa Chadema ni kuamini wao ni bora kuliko mtu yeyote yule Tanzania. Wana majivuno na dharau kwa kila mtu asiyekubaliana na nao. Na hapo hawaongozi Serikali. Naamini siku wakiongoza nchi hii itakuwa na mjumuisho wa Sheria za Serikali ya Taliban Afghanistan, Kiduku ya Korea Kaskazini, ya Serikali ya Burma (Sasa hivi Mynmaar) na China!
 
Vumilia siasa ndivyo zilivyo...

Angalia hao wafuasi wa Chadema wanavyompopoa kijana mmoja wa CCM...

View attachment 3055238

Cc: Mahondaw
Halafu Taikuni anataka eti CCM waitwe majina mazuri...?!CCM ni.I.NYA tu, tena wote..: Hapo wote wamebeba silaha za maangamizi kisa, gwanda na skafu ya CHADEMA!!Naijua hiyo ni Dodoma, kamanda alipita jirani na mkutano wa CCM akiwa anaelekea kwake akitoka kwenye mkutano wa ndani wa chama chake:CCM wakajitetea:_ Ilani yao inasema alipaswa kubadili njia?!@eti!
 
Hiki chama kinatupiwa sana mawe.
Poleni sana wafuasi na wanachama wa chadema. Yani hiki chama ni kama vile ndicho kinachokusanya kodi za nchi.
Tusio na chama tunawaonea huruma.
Umeongea kwa utu,staha na hisia sana: Uonevu wa CCM kwa CHADEMA ni wa juu sana:Umenikumbusha 2014 kwenye uchaguziwa wa Serikali za Mitaa Kule Geita Mjini mtaa unaitwa Geita-Hill ulimo Mgodi wa GGM.CCM tuliwashinda kwa tofauti ya kura 50 na hawakuwa tayari mtaa uangukie CHADEMA.Zilipigwa figisu uchaguzi ukafutwa ikawa urudiwe, tukaenda mahakamani, ni kwa mara ya kwanza niliona hakimu amekerwa na hiyo kesi_Namnukuu: " Vijana kwa nini wanawatesa hivyo....acheni kesi nendeni mkarudie tu uchaguzi mtashinda tena..Piteni kwa....mnywe soda..nitakuja nilipe..na mtumia meseji. :": Dadeki, tulipata ujasiri..Kampeni tena hazikuruhusiwa: Tulipiga Kampeni za mtandaoni,mpaka matokeo ya mwisho CCM walipoteana,.Mgombea wa CHADEMA aliibuka mshindi tena kwa tofauti ya kura 144 dhidi ya Mgombea wa CCM.
 
Uzi mrefu umeandika ujinga tu.
hizo ni dalili kuwa watu wengi ni jobless

Hivi mjasiriamali au mwekezajin unupata wapi muda kuandika Uzi wa kipuuzi kama huu

Haya sasa unata maccm tu wa sugar coat ili iweje
Ccm ni majizi tu ndo jina linawafaa
Hata mwajiriwa tu hapati huu muda
 
Tatizo la wafuasi wa Chadema ni kuamini wao ni bora kuliko mtu yeyote yule Tanzania. Wana majivuno na dharau kwa kila mtu asiyekubaliana na nao. Na hapo hawaongozi Serikali. Naamini siku wakiongoza nchi hii itakuwa na mjumuisho wa Sheria za Serikali ya Taliban Afghanistan, Kiduku ya Korea Kaskazini, ya Serikali ya Burma (Sasa hivi Mynmaar) na China!

Hiki kipengele ni moja ya vinavyowaharibia
 
Hiki kipengele ni moja ya vinavyowaharibia
Hivi kama hauko bora na tishio kwa upande fulani utasakamwa sakamwa??!Hiyo picha mtu anata kupondwa matofali..kosa lake ni nini?!Acha unazi wa kishamba au unafikiri kujitambua kwamba uko bora kuliko ni kosa....?!
 
Hakuna ubaya wowote wao kuitwa hayo majina. Ndivyo walivyo. Kam Chura kiwizi anajina sembuse hao kina bumunda. Tuwaseme tu coz ccm ni majuha pro max
Haya majina wanajibatiza wenyewe. Mengine alijiita kichaa, jiwe, etc.
 
hawana hoja tena, hawana mawazo mapya wala fikra mbadala,

hitimisho la kila wanachozungumza ni hicho ulichobainisha tena kwa mihemko na ghadhabu 🐒
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Andiko ZURI!

Swali unaonaje wale CCM ambao humwita
1.Mbowe Mzee wa Konyagi???

2.Wanaomwita Lissu CHIBA??

3.wanaowaita wafuasi wote wa CHADEMA NYUMBU??

4.Wanaomwita Mbowe Sultan??? kisa umwenyekiti??

Tuanzie hapo!!
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Wanajikutaga Wana akili wakati ni majuha tuu wakioouuzwa na jamii.
 
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti zetu za Instagram: ikulu_mawasiliano, Facebook: Ikulu Tanzania Facebook fanpage: Ikulu Mawasiliano Twitter: ikulu_Tanzania Youtube Channel: Ikulu Tanzania Tovuti: ikulu.go.tz
20240729_083220.jpg
 
Back
Top Bottom