Na pia hatamaongezi huchangia mtu kuziandika kama anavyo tamka tuSahihi ni kusali na kuswali
viswahili ni wingi wa kiswahili?Na pia hatamaongezi huchangia mtu kuziandika kama anavyo tamka tu
Ikiwa anatamka kachubali ataiandika hivyo pia viswahili vinategemea ulipokulia
Naam viswahili vya mikoani hutofautiana mkoa hadi mkoaviswahili ni wingi wa kiswahili?
Ha ha ha mmh
Kiswahili - viswahiliNaam viswahili vya mikoani hutofautiana mkoa hadi mkoa
Kuumbe basi sawa nshajua leo ahsanteKiswahili - viswahili
Hii haipo bana, chai!!!
Ha ha ha the list continuesPolee sana..empty set!
Sio mifala, hiyo ni effect ya ki mazingira mkuu.Shule hufundisha kuandika inavyotakiwa, lakini kuna mifala pakuweka L wao huweka R. Na penye R wao huweka L lakini wakiwa kwenye exam huandika sahihi kabisa.