Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Kwanza jua kabisa anachofanya ni chako pia cha watoto wenu pia kaa ujijua haupotezi hapo bali unawekeza. Wanawake kama nyie mnatoeka wa kwa kasi saaana duniani wamebaki chuma ulete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ya Leo kali akili yako inabidiichunguzwe ww unapigika lkn kuna mwenzio anahudumiwa kwa kupewa matumizi kila kitu kama mke nae wala haombi anapewa tu unamhudumia kila kitu na bado aje akuache

Sent using Jamii Forums mobile app


hahahaha niliwah kutana na mtu wa aina hii anampenda mkewe hatar full uaminif lakini alichepuka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! had kumjengea mchepuko mjengo! chezea ww! ukimuuliza anakuambia sn sabab mke wangu nampenda sana ! yaan labda hana njaa aisee! si bora ninunue kiwanja mie
 
Upo kama make wangu ingawa mimi ndo nampa za kutosha wala hatumii anakaa nazo tu hongera sana sasa mpange na umwambie mipango yako unayotaka kuachieve akusaidie kwenye hilo

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Upo kama make wangu ingawa mimi ndo nampa za kutosha wala hatumii anakaa nazo tu hongera sana sasa mpange na umwambie mipango yako unayotaka kuachieve akusaidie kwenye hilo

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app


sasa wewe upo tofaut na dhima ya mtoa mada !wewe unatoa mkeo anazitunza hilo ni jambo jema sana !LAKINI MWENZAKO ANATOA ANASHINDWA TIMIZA NDOTO ZAKE !KWAHYO MPO TOFAUTI
 
Hongera
Ila kwanini ni msiri yaani humshirikishi kuwa upo mbioni kufungua mradi na unatafuta fremu usiwe msiri hata kama unajisupport mwenyewe maana sasahivi ni mwili mmoja hzo ni malengo yenu wote
 
sasa wewe upo tofaut na dhima ya mtoa mada !wewe unatoa mkeo anazitunza hilo ni jambo jema sana !LAKINI MWENZAKO ANATOA ANASHINDWA TIMIZA NDOTO ZAKE !KWAHYO MPO TOFAUTI
Hapo kwenye utunzaji tu

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Hakika mwanamke MPUMBAVU ATAVUNJA NYUMBAYAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE...

MWANAMKE MWEREVU ATAIJENGA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE..

If And only if..that is true. ..pull up your Sox. ..the most important thing you' re supposed to do is...

Hakikisha unafahamu miradi yards mumeo yote uijue alafu muiweke kwa legal aspects to be in safe side...

Mpe mumeo full support 100% mtafanikiwa na Mungu akubariki..AMINA..by..another JJJ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika mwanamke MPUMBAVU ATAVUNJA NYUMBAYAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE...

MWANAMKE MWEREVU ATAIJENGA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE..

If And only if..that is true. ..pull up your Sox. ..the most important thing you' re supposed to do is...

Hakikisha unafahamu miradi yards mumeo yote uijue alafu muiweke kwa legal aspects to be in safe side...

Mpe mumeo full support 100% mtafanikiwa na Mungu akubariki..AMINA..by..another JJJ

Sent using Jamii Forums mobile app



and viceversa its TRUE
 
Duuh watu wanapitia magum sana lakin ukikutana nae anatabasam tu ndo maana kamwe stokuja mdharau mtu asee
Maana akijuhadithia basi tu.
Acha tu ndugu yangu ila huwez amini toka nimejifungua familia yao haikawahi hata kunipa sabuni yamtoto ila wao wakitaka hela wananiomba nawapa wifi hatujala nakopa atakwa watu nawapa Mimi nimesoma ila sina bahati yaajira Niko mwenyewe nimenuniwa Na wazazi nakuniblock kisa sina Kazi ila babu yangu nimzee sasaivi ela anayopata namuomba ananisaidia kiukweli toka hapo sijawahi kuwa Na furaha wala amani kamwe just imagine unaishi kwa ndugu walewale namwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu ndugu yangu ila huwez amini toka nimejifungua familia yao haikawahi hata kunipa sabuni yamtoto ila wao wakitaka hela wananiomba nawapa wifi hatujala nakopa atakwa watu nawapa Mimi nimesoma ila sina bahati yaajira Niko mwenyewe nimenuniwa Na wazazi nakuniblock kisa sina Kazi ila babu yangu nimzee sasaivi ela anayopata namuomba ananisaidia kiukweli toka hapo sijawahi kuwa Na furaha wala amani kamwe just imagine unaishi kwa ndugu walewale namwanao

Sent using Jamii Forums mobile app



duh we nawe tukuombee tu! hebu badilika basi jaman! kha!khaaa babu akitutoka huon km utateseka zaid kwann unawapa hao hela na ww huna kibarua my dear!khaa kweli kila mtu analevels za utu! nakugawa leo hii hii Neybright njoo huku
 
Back
Top Bottom