Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

[emoji121]
MKUU,

HAUNA PACHA WAKO WA KUTOATOA HELA KAMA WEWE
NITANGAZE NDOA FASTA?!?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaaaaa jamani nacheka kufa hapa. Loh kumbe tunapanda abood basi nilidhani tunaenda pande zile. Poa mydear tutaenda kuoga baharini


hahahaha kule kunanuka perege tu! hahaha kweli tukadip had mabichwa yaan tuzame mwil mzimaaa
 
Ukute hiyo harufu ya perege ndo baraka zenyewe


demi hadi nimekaa kitandani ghafla! hahahahhahahhahahhha uwi jaman demi mie wewe nakufaaaaaaaaaaaaaaa! dah kweli wewe mie sikuwez!,,,, unanikumbusha frndz zangu jaman tukikutana hahaha km ni bar tunapendwa na kila mtu yaan ni vichekooo plus stress bas rahaa! dah ngj niicopy hii comment
 
Inaonekana una furaha sana maana kwa kucheka tu sikuwezi.ha haaa cheka tu mwaya. Ila mindu lazima tukadumbukie.
 
Inaonekana una furaha sana maana kwa kucheka tu sikuwezi.ha haaa cheka tu mwaya. Ila mindu lazima tukadumbukie.


yaan mie kucheka jaman huwa sijuikuvunga! huwa sikai karibu na dadangu maana anavichekeshooo! hee! leo nimecheka jaman naogopa ht kulala huenda nikapitia hukohuko !hheheh! team mindu hahhahhaa dah we demi mbn sikuzoei tu
 
Mh! Kwahiyo ulipanga kufungua biashara bila kumshirikisha!! Mimi Nina mtazamo tofauti na wengi, unaonekana mke mwema lakini haumpi changamoto mume wako kwasababu wakati wote unakubali mawazo yake tu yako unayasitisha. Ni Kama vile una amini sana mipango ya mume na sidhani hata kama huwa unafuatilia biashara zake kwa undani.

Jaribu kumueleza mume wako mipango yako ya biashara na wewe pengine ni mizuri zaidi ya kwake. Kingine msiweke mayai yote kwenye kapu moja, siku biashara yake ikiyumba itakuaje? Halafu hakuna ndoto zako na zake, zote ni zenu.

Kingine jitahidi kuijua kwa undani biashara ya mumeo maana kuna kesho na kesho kutwa.

Mwisho ufanyajo ni kawaida kwa wana ndoa
 
Akikuacha/akifa/ukimwacha njoo kwangu nikuoe hata kesho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…