Jimmy ally
Senior Member
- May 11, 2017
- 156
- 279
Uwe mjivuni na mdharau u kiwapa atrention ya kudumu unaowataka unapotea, fanya hivi mcheki mara mbili au tatu akizingua potezea kbsa futa na namba ila hakikisha usikose pesa kwenye waleti laki3-5 na etc kwenye walleti na marafiki zake waone sifa hizo, huwezi amini hawa wanajileta, usisahau kutoa ofa au zawadi kama kusudi, sandle na lotion, perfume kwa best yake yeyote wa karibu ndio "utajua unajua". Inategemea ntu na ntu binafsi mi mjivuni na mjeuri madharau huwa sibembelezi mwanamke kwa sababu najua baadae akiwa wangu atakuwa ombaomba kwangu.Habari wazalendo,
Mimi sipendi kuzungushwa na hawa watu wanaojiita pisi kali, yaani unamtafuta anakuzungunsha wakati ndio atakula pesa yako yaani nitafute pesa kwa shida halafu nikubebeleze uje kula pesa zangu.
Nikikutongoza siku tatu haueleweki nafuta na namba, dunia ituzungushe nawe unizungushe. Wewe haupendi nini katika kuzungushwa?