PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
[HASHTAG]#Borrowed[/HASHTAG]
Jana nilipanda daladala, basi nikakaa kwenye siti nimejiachia kuchat. Kuna jamaa akawa katoa mimacho anasoma message zangu bila aibu. Yaani waziwazi anafuatilia ninavyo-chat.
Nikaona ngoja nimtie adabu..... Nikaamua nim-text jamaa, "Oyaa Sheikh Sharif! Ngoja niilipue hii daladala muda ushafika".
Yule jamaa akajirusha dirishani. SIPENDI MAMBO YA KIJINGA.
Jana nilipanda daladala, basi nikakaa kwenye siti nimejiachia kuchat. Kuna jamaa akawa katoa mimacho anasoma message zangu bila aibu. Yaani waziwazi anafuatilia ninavyo-chat.
Nikaona ngoja nimtie adabu..... Nikaamua nim-text jamaa, "Oyaa Sheikh Sharif! Ngoja niilipue hii daladala muda ushafika".
Yule jamaa akajirusha dirishani. SIPENDI MAMBO YA KIJINGA.