Sipendi mambo ya kijinga

Sipendi mambo ya kijinga

PAGAN

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
12,181
Reaction score
20,148
[HASHTAG]#Borrowed[/HASHTAG]

Jana nilipanda daladala, basi nikakaa kwenye siti nimejiachia kuchat. Kuna jamaa akawa katoa mimacho anasoma message zangu bila aibu. Yaani waziwazi anafuatilia ninavyo-chat.

Nikaona ngoja nimtie adabu..... Nikaamua nim-text jamaa, "Oyaa Sheikh Sharif! Ngoja niilipue hii daladala muda ushafika".

Yule jamaa akajirusha dirishani. SIPENDI MAMBO YA KIJINGA.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[HASHTAG]#Borrowed[/HASHTAG]

Jana nilipanda daladala, basi nikakaa kwenye siti nimejiachia kuchat. Kuna jamaa akawa katoa mimacho anasoma message zangu bila aibu. Yaani waziwazi anafuatilia ninavyo-chat.

Nikaona ngoja nimtie adabu..... Nikaamua nim-text jamaa, "Oyaa Sheikh Sharif! Ngoja niilipue hii daladala muda ushafika".

Yule jamaa akajirusha dirishani. SIPENDI MAMBO YA KIJINGA.
We kiboko umenichekesha sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huu msemo umepata mashiko kwa kasi ya ajabu sana yaani siku hizi kila msg mwishoni ni sipendi ujinga mimi
 
Back
Top Bottom