😘😍😍😂👍Siku ukigundua Mimi ndiondio mama swalehe,utalia sanaaaa😁
Yaani nilijua tu hii ndio hobbies yako na kupiga vigelegele😁😁😁Kuna namna naanza kutengwa mkuu, wazee tunaonekana hatuna afadhali. Jana namtetea mzee mwenzangu Ushimen nikaonekana na mimi zimeruka kidogo🤣🤣
Ila swala la.morning glory halina mbadala, napenda kitu chukuchuku yani, saa10 alfajiri na lile joto la papa, nikimaliza hapo hakyanani siku itaenda poa sana.
Achana nae huyoHa haaaa haaaa umetisha sana,kumbe kuchukia morning glory ni umalaya?
Kwangu uchovu unatoka halafu kazi napiga vizuri kuliko nikiikosa asubuhiUnachangamka au unakuwa na mchokoo?
Alfajiri hakuna vigelegele 🤣🤣tunalima na kupanda bila mbwbwe!!Yaani nilijua tu hii ndio hobbies yako na kupiga vigelegele😁😁😁
Watafurahi🤣🤣🤣🤣Mbona ghafla Sana baba swalehe?na Nina watesi wengi sana utanifaa
We si umesema habari za kutuma salam hutaki tena? Hapa ni give n take yani, tuma salam nipige vigelegele 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hayo mambo ya kulima bila vigelegele ndio yananikera sana
Unaona sasa raha yake, no maandalizi kila mtu kajiandaa ndotoni, ukigusa tu unyevu huu hapa..hahahaHivi kwanza kwanini morning glory hainaga maandalizi ila kitu huwa kinaslide easily? .sijui hata nawaza nini