Sipendi niliowaajiri waendelee, yaani wafanikiwe na ku-move on. Napenda wabaki wanyonge hivyo hivyo

Sipendi niliowaajiri waendelee, yaani wafanikiwe na ku-move on. Napenda wabaki wanyonge hivyo hivyo

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Binadamu amezaliwa na evilness yaani tangu yumo tumboni mwa mama yake

Nilikuwa nalaumu sana kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakuwa makauzu sana au wana roho fulani hivi. well..hii tabia hujengwa kutokana na dissapointments wanazokutana nazo kutoka kwa watu waliowaajiri, tena sanasana ngozi nyeusi (Washenz sana ngozi nyeus).

Boss huyu kutoka na trend anayopigwa na watu wake. Imani humuisha kabisa na kuwa katili, usimlaumu boss katili ni nyie ndio mmemfanya hvyo..huwezi nielewa unless na wewe umeajiri watu wakufanyie kazi zako.

Ngozi nyeusi unapomweka mahali akili yake yote inakuwa kwenye ni mbinu gani nitumie kumuibia huyu boss. Yaani ni mbinu gani za ki shaitwan zinaweza nifanya nitoke kimaisha hiyo ndio akili ya mswahili na mtu mweusi kwa ujumla.

So ma boss weng tumegundua hilo na imetufanya tumekuwa makatili, yaani huchek na mtoto wa mtu kama kazi ni kazi tu.

Hili linapelekea mpaka tuwe na mawazo ya kutopenda tuliowaajiri wafanikiwe au waendelee kimaisha unless ataendelea kukufanyia kazi.

Kwa hiyo ndugu zangu unapomwajiri mswahili ngozi nyeusi, ishi nae kimachale sana ni wa.shen.zi sana ngozi nyeusi....natamani nitukane ila najua mods watafuta...ila ndo hivyo.

Maisha haya ya duniani ushetani ndo kila kitu ukijifanya mwema sana inakula kwako.
 
Duuh aisee pole sana.

Tudokeze hilo tukio mkuu na sisi tuwe makini tuzibe mianya ya kuibiwa kwa njia kama iliyokutokea wewe.
 
Maisha haya ya dunian ushetan ndo kila kitu..ukijifanya mwema sana inakula kwako
Katika kuandika kote ....hapa nimepapenda.

Siku zote hata wale walioajiriwa wenye akili timamu + vision huwezi kuta wamenunua gari,kuonekana hovyo kwa kila type ya nguo,mitandaoni akijiproud(sijui nyumba,gari au mke) wala kujifanya tajiri.

Hii inamsaidia Boss kuendelea kuwa na imani na mhusika + hata mshahara utaongezeka tuu... kwa sabbu anajua amekaa na mtu mwenye akili.

Hakuna kitu kibaya kama aliyekuzidi,umpindue....atafanya kila namna uondoke.

Mwisho ila sio kwa umuhimu,kwa msiojua hawa maHr na Mameneja ni wafuatiliaji balaa...

Atakuchunguza kila mahali sio facebook,Ig...whatsaap kila siku atakuchunguza.(Hii inamsaidia kufahamu yupo na mtu wa aina gani) Nimewapeni siri hili mlitambue
 
Kweli Kabisa Hilo la HR Kuna Jamaa Aliwahi kunitonya ni Wapelelezi wa Chin Chin
sio kukutonya ...ndivyo ilivyo.

Hata kwenye kuajiri zile namba zina maana kubwa sana,mbali na kumtafuta mhusika.

Unashangaa unasubiria/kuendelea kutafuta ajira unapigiwa na watu usiowafahamu kumbe wanaendelea kukupeleleza tuu[emoji2][emoji23][emoji23]
 
Dunia ni msongamano wa watu wa kila namna na kila mmoja kati yetu ana fikra na utashi tofauti tofauti......ili ubaki salama kwenye ulimwengu huu uliojaa watu wanafiki waliojificha kwenye tabasamu la mashavuni unatakiwa matumizi yako ya fahamu yawe juu wakati wote.....

Hupaswi kuishi kwa mazoeoa bali kwa taratibu na kanuni kulingana na nyakati husika.

Hutakiwi kuchelewa kufanya maamuzi magumu pale unapohisi mambo hayaendi vile yanavyotakiwa yawe......na hakikisha maamuzi yako yanakuwa mbali na emotions.

NB
Roho ya kishetani itakutenga na watu ambao kwa namna moja au nyingine wangeweza kuwa msaada mkubwa kwako......
 
Kama huna management nzuri utaumbuka.

Wekeza kwenye technology(Fingerprint attendance,Systems za accounts na management,CCVT camera,Car track,POS etc,)

Hapo utawaweza.
 
Binadamu amezaliwa na evilness yaani tangu yumo tumboni mwa mama yake

Nilikuwa nalaumu sana kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakuwa makauzu sana au wana roho fulani hivi...well..hii tabia hujengwa kutokana na dissapointments wanazokutana nazo kutoka kwa watu waliowaajiri...tena sanasana ngoz nyeus
(Washenz sana ngoz nyeus)

Boss huyu kutoka na trend anayopigwa na watu wake. Imani humuisha kabisa na kuwa katili, usimlaumu boss katili ni nyie ndio mmemfanya hvyo..huwezi nielewa unless na wewe umeajiri watu wakufanyie kazi zako.

Ngozi nyeusi unapomweka mahali akili yake yote inakuwa kwenye ni mbinu gani nitumie kumuibia huyu boss..yaani ni mbinu gani za ki shaitwan zinaweza nifanya nitoke kimaisha hiyo ndio akili ya mswahili na mtu mweusi kwa ujumla.

So ma boss weng tumegundua hilo na imetufanya tumekuwa makatili, yaani huchek na mtoto wa mtu kama kazi ni kaz tu

Hili linapelekea mpaka tuwe na mawazo ya kutopenda tuliowaajiri wafanikiwe au waendelee kimaisha unless ataendelea kukufanyia kazi.

Kwa hiyo ndugu zangu unapomwajiri mswahili ngozi nyeusi, ishi nae kimachale sana ni wa.shen.zi sana ngozi nyeusi....natamani nitukane ila najua mods watafuta...ila ndo hivyo

Maisha haya ya duniani ushetani ndo kila kitu ukijifanya mwema sana inakula kwako

Uzi tayari...(kuna tukio limetokea ndo mana nimeandika)

Naomba ajira mkuu...
 
Shida ya Ngozi nyeusi kwenye mambo haya ni mtendaji ila hataki kukubali kutendewa mimi naamini Kama umefikia wakati wa kuitwa boss na wewe uliwahi kuwa mfanyakazi Sasa huko haukuwahi kumuumiza boss wako wa enzi zile ? Acha roho mbaya maisha ni chain tunategemeana.
 
Maandiko yanaposema ni vigumu kwa tajiri kuuona ufalme wa Mungu, hizi ndio sababu zenyewe. Huwezi kuwa tajiri bila kuumiza na kuonea watu. Haijawahi kutokea wala haitakuja kutokea.
Kwahyo wao watuibie ila sis tukae tuu..hahahha..
 
Shida ya Ngozi nyeusi kwenye mambo haya ni mtendaji ila hataki kukubali kutendewa mimi naamini Kama umefikia wakati wa kuitwa boss na wewe uliwahi kuwa mfanyakazi Sasa huko haukuwahi kumuumiza boss wako wa enzi zile ? Acha roho mbaya maisha ni chain tunategemeana.
Hapana .skuwai hata mara1
 
Hutu tutajiri twasize ya kati tunakuwaga roho mbayaaaa. Sijui utajiri wa masharti.

Ila matajiri wenyewe wanajua bila wafanyakazi they wouldn't get anywhere near riches.

And so they invest in their personnel. Wanajitahidi mishahara iendane na maisha Ili kuleta retainment kazini na pia kuzuia mianya ya wizi.

Ila sasa hutu tu design twa mtoa mada aisee...... Kwanza shule mtihani.
 
Katika kuandika kote ....hapa nimepapenda.

Siku zote hata wale walioajiriwa wenye akili timamu + vision huwezi kuta wamenunua gari,kuonekana hovyo kwa kila type ya nguo,mitandaoni akijiproud(sijui nyumba,gari au mke) wala kujifanya tajiri.

Hii inamsaidia Boss kuendelea kuwa na imani na mhusika + hata mshahara utaongezeka tuu... kwa sabbu anajua amekaa na mtu mwenye akili.

Hakuna kitu kibaya kama aliyekuzidi,umpindue....atafanya kila namna uondoke.

Mwisho ila sio kwa umuhimu,kwa msiojua hawa maHr na Mameneja ni wafuatiliaji balaa...

Atakuchunguza kila mahali sio facebook,Ig...whatsaap kila siku atakuchunguza.(Hii inamsaidia kufahamu yupo na mtu wa aina gani) Nimewapeni siri hili mlitambue
Kiufupi acha mazoea na staff + bosses utaenjoy life
 
Binadamu amezaliwa na evilness yaani tangu yumo tumboni mwa mama yake

Nilikuwa nalaumu sana kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakuwa makauzu sana au wana roho fulani hivi...well..hii tabia hujengwa kutokana na dissapointments wanazokutana nazo kutoka kwa watu waliowaajiri...tena sanasana ngoz nyeus
(Washenz sana ngoz nyeus)

Boss huyu kutoka na trend anayopigwa na watu wake. Imani humuisha kabisa na kuwa katili, usimlaumu boss katili ni nyie ndio mmemfanya hvyo..huwezi nielewa unless na wewe umeajiri watu wakufanyie kazi zako.

Ngozi nyeusi unapomweka mahali akili yake yote inakuwa kwenye ni mbinu gani nitumie kumuibia huyu boss..yaani ni mbinu gani za ki shaitwan zinaweza nifanya nitoke kimaisha hiyo ndio akili ya mswahili na mtu mweusi kwa ujumla.

So ma boss weng tumegundua hilo na imetufanya tumekuwa makatili, yaani huchek na mtoto wa mtu kama kazi ni kaz tu

Hili linapelekea mpaka tuwe na mawazo ya kutopenda tuliowaajiri wafanikiwe au waendelee kimaisha unless ataendelea kukufanyia kazi.

Kwa hiyo ndugu zangu unapomwajiri mswahili ngozi nyeusi, ishi nae kimachale sana ni wa.shen.zi sana ngozi nyeusi....natamani nitukane ila najua mods watafuta...ila ndo hivyo

Maisha haya ya duniani ushetani ndo kila kitu ukijifanya mwema sana inakula kwako

Uzi tayari...(kuna tukio limetokea ndo mana nimeandika)
Utakuwa unatoka wilaya ya CHATU-SNAKE mkoani gyiita , huko hawataki mtu awe tajiri,
 
Huyu tutajiri twasize ya Kati tunakuwaga roho mbayaaaa. Sijui utajiri wa masharti.

Ila matajiri wenyewe wanajua bila wafanyakazi they wouldn't get anywhere near riches.

And so they invest in their personnel. Wanajitahidi mishahara iendane na maisha Ili kuleta retainment kazini na pia kuzuia mianya ya wizi.

Ila sasa hutu tu design twa mtoa mada aisee...... Kwanza shule mtihani.
Hahaha...wazee kwa kukaa nyuma ya keyboard...mnajuaga kuongea nyie.hahahha....
 
Binadamu amezaliwa na evilness yaani tangu yumo tumboni mwa mama yake

Nilikuwa nalaumu sana kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakuwa makauzu sana au wana roho fulani hivi...well..hii tabia hujengwa kutokana na dissapointments wanazokutana nazo kutoka kwa watu waliowaajiri...tena sanasana ngoz nyeus
(Washenz sana ngoz nyeus)

Boss huyu kutoka na trend anayopigwa na watu wake. Imani humuisha kabisa na kuwa katili, usimlaumu boss katili ni nyie ndio mmemfanya hvyo..huwezi nielewa unless na wewe umeajiri watu wakufanyie kazi zako.

Ngozi nyeusi unapomweka mahali akili yake yote inakuwa kwenye ni mbinu gani nitumie kumuibia huyu boss..yaani ni mbinu gani za ki shaitwan zinaweza nifanya nitoke kimaisha hiyo ndio akili ya mswahili na mtu mweusi kwa ujumla.

So ma boss weng tumegundua hilo na imetufanya tumekuwa makatili, yaani huchek na mtoto wa mtu kama kazi ni kaz tu

Hili linapelekea mpaka tuwe na mawazo ya kutopenda tuliowaajiri wafanikiwe au waendelee kimaisha unless ataendelea kukufanyia kazi.

Kwa hiyo ndugu zangu unapomwajiri mswahili ngozi nyeusi, ishi nae kimachale sana ni wa.shen.zi sana ngozi nyeusi....natamani nitukane ila najua mods watafuta...ila ndo hivyo

Maisha haya ya duniani ushetani ndo kila kitu ukijifanya mwema sana inakula kwako

Uzi tayari...(kuna tukio limetokea ndo mana nimeandika)
Fanya wema siku zote, yule akurudishiaye mabaya , mwache aende zake.
Dunia ipo kwa kuwafundisha.
ALWAYS!
 
Back
Top Bottom