Bill Cosby JF-Expert Member Joined Sep 2, 2013 Posts 2,588 Reaction score 1,554 Apr 11, 2015 #41 Jaslaws said: Sipendi tabia ya midume mizima kuomba omba bia bar.kama huna hela baki om upige story na wife.! Click to expand... Sasa Nicholas Nyakageni na matumbo tabia hii wanayo miaka mingi mno utawachukia mpaka kufa. Bia za bure ni km ibada kwao. Labda ni laana eti? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Jaslaws said: Sipendi tabia ya midume mizima kuomba omba bia bar.kama huna hela baki om upige story na wife.! Click to expand... Sasa Nicholas Nyakageni na matumbo tabia hii wanayo miaka mingi mno utawachukia mpaka kufa. Bia za bure ni km ibada kwao. Labda ni laana eti?
zugimlole JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,078 Reaction score 1,352 Apr 11, 2015 #42 Sipeeendiii post za gwajima na zitto
Bill Cosby JF-Expert Member Joined Sep 2, 2013 Posts 2,588 Reaction score 1,554 Apr 11, 2015 #43 Jerrymsigwa said: Sipendi thread za kucopy n paste afu ndeefu kam gazeti, muwe mnasummarise ndipo mnapost Click to expand... Teh teh teh! We unamuogopa Yericko Nyerere? Si umpe direct tu na magazeti yake yasio na maana? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Jerrymsigwa said: Sipendi thread za kucopy n paste afu ndeefu kam gazeti, muwe mnasummarise ndipo mnapost Click to expand... Teh teh teh! We unamuogopa Yericko Nyerere? Si umpe direct tu na magazeti yake yasio na maana?
M mzeelapa JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 1,118 Reaction score 404 Apr 11, 2015 #45 Sipendi tabia za watu wanaoongea kwenye simu kwa sauti kubwa na muda mrefu ndani ya basi, tena anachoongea ni kujionesha tu. Abiria wengine yanatuhusu nini? Tena story zisizo na mbele wala nyuma alimradi tu.
Sipendi tabia za watu wanaoongea kwenye simu kwa sauti kubwa na muda mrefu ndani ya basi, tena anachoongea ni kujionesha tu. Abiria wengine yanatuhusu nini? Tena story zisizo na mbele wala nyuma alimradi tu.
Stamina JF-Expert Member Joined Jul 3, 2012 Posts 1,029 Reaction score 565 Apr 11, 2015 #46 Sipendi mtu unamtumia "pm" alafu hakujibu mpaka baada ya siku tatu au nne wakati kila siku unamuona online! sipendi,,,
Sipendi mtu unamtumia "pm" alafu hakujibu mpaka baada ya siku tatu au nne wakati kila siku unamuona online! sipendi,,,
J Jingo23 Member Joined Feb 10, 2015 Posts 6 Reaction score 0 Apr 11, 2015 #47 sipendi mtu anaechukia wenzie sababu ya itikadi,Sipendi mtu anaejiona tofauti na wenzie,sipendi mtu anaekukumbuka kwa kukuomba...
sipendi mtu anaechukia wenzie sababu ya itikadi,Sipendi mtu anaejiona tofauti na wenzie,sipendi mtu anaekukumbuka kwa kukuomba...
C chonyaWachilonwa Member Joined Oct 8, 2013 Posts 83 Reaction score 38 Apr 11, 2015 #48 Sipendi watu wanaoshindwa kutofautisha "r" na "l" katika kuongea na kuandika......"kiswahiri"... Nadhani bora wajifunze "engrish"....
Sipendi watu wanaoshindwa kutofautisha "r" na "l" katika kuongea na kuandika......"kiswahiri"... Nadhani bora wajifunze "engrish"....
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 10,962 Reaction score 7,830 Apr 11, 2015 #49 Sipendi ccm
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 10,962 Reaction score 7,830 Apr 11, 2015 #50 Sipendi hii tabia Mnaangalia movie kuna mtu anaanza kuisimulia kwa kuwa tuu yeye ameiona.
idawa JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 25,284 Reaction score 38,364 Apr 11, 2015 #51 Sipendi mwanamke tumetoka out kwa mara ya kwanza mii naagiza Safari yeye anaagiza santana.
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,032 Reaction score 18,540 Apr 11, 2015 #52 sipendi tabia ya mwanamke kuchukua simu ya hawara au bwana wake kusearch na kuanza pigia watu kuwauliza we nani!!!! mkome!!!! kujidhalilisha tu
sipendi tabia ya mwanamke kuchukua simu ya hawara au bwana wake kusearch na kuanza pigia watu kuwauliza we nani!!!! mkome!!!! kujidhalilisha tu
kajojo JF-Expert Member Joined Jun 9, 2012 Posts 2,946 Reaction score 5,470 Apr 11, 2015 #53 Sipendi Hii tabia ya kuungwa kwenye vigroup huko whatsapp especially ambavyo havina mwelekeo .
Waseme JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 2,603 Reaction score 4,082 Apr 11, 2015 #54 Sipendi mtu anatafuna chakula kama nguruwe mbaya zaidi anaongea tena chakula kikiwa mdomoni!!!
makenze JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 356 Reaction score 217 Apr 11, 2015 #55 sipendi unamuandikia mtu msg ndefuu anakujibu poa au ok au K inaboaa
spyro Member Joined Mar 21, 2015 Posts 22 Reaction score 4 Apr 11, 2015 #56 Sipendi mijitu inayoachia sauti ya juu ya tv na sub woofer kwenye nyumba za kupanga.
makenze JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 356 Reaction score 217 Apr 11, 2015 #57 sipendi mods kufuta nyuzi bila hatia
Code Breaker JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 1,019 Reaction score 445 Apr 11, 2015 #58 Sipendi wanawake wanaotoa mimba.
yathriba Member Joined Feb 7, 2011 Posts 35 Reaction score 6 Apr 11, 2015 #59 Sipendi mtu anafungulia redio kama yupo bar si ufungue tu kiasi cha kuweza kuskiliza mwenyewe.
David Harvey JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,894 Reaction score 6,020 Apr 11, 2015 #60 ........... Bt