Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sipendi tabia ya mtu kuwa na id yake humu hachangii mada yoyote hata kusema "hi" lakini kazi yake kwenda pm za watu kuwatongoza sipendi kabisa hii tabia kama ni wewe badilika!!!!!!!!
Mi sipendi tabia ya mtu kuwa na id yake humu hachangii mada yoyote hata kusema "hi" lakini kazi yake kwenda pm za watu kuwatongoza sipendi kabisa hii tabia kama ni wewe badilika!!!!!!!!
mwenzagu!! nikajua ni mimi tu nafanyiwa hvi vitimbi
sipendi unamuandikia mtu msg ndefuu
anakujibu poa au ok au K
inaboaa
yaani inakera kwakweli! vimaswali maswali havina mbelewala nyuma kuchoshana tu
Mi sipendi tabia ya mtu kuwa na id yake humu hachangii mada yoyote hata kusema "hi" lakini kazi yake kwenda pm za watu kuwatongoza sipendi kabisa hii tabia kama ni wewe badilika!!!!!!!!
Mi sipendi tabia ya mtu kuwa na id yake humu hachangii mada yoyote hata kusema "hi" lakini kazi yake kwenda pm za watu kuwatongoza sipendi kabisa hii tabia kama ni wewe badilika!!!!!!!!
mi mechoka usumbufu wako leo nimetoa la moyoni thanks to mtoa madaSipendi tabia ya kuyaleta jamvini baada ya ku kutongoza pm alafu ukanitosa
mi mechoka usumbufu wako leo nimetoa la moyoni thanks to mtoa mada
Hiki ndo hupendi mkuuarsenal 1 bunley 0
Aiseeee.........
Lakini umeniaibisha, na uzee huu